Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Japo simpigii kampeni, nani ajuaye mipango ya Mungu. Katika gombea gombea ikatokea Tundu Lissu akachaguliwa kuwa rais, utanya nini au utajisikiaje? Nakumbuka. Alimuonya Magufuli juu ya uvunjaji wa sheria za mikataba akataka kumuwahisha kuzima akaishia kuwahi yeye. Alinusurika kuuliwa. Hakuuguzwa kama sheria inavyotaka kuhusiana na haki za wabunge. Hakulipwa fedha yake halali kama mbunge. Alinyang'anywa hata ubunge wake kwenye kejeli ya mwaka 2020 ilioyoitwa uchaguzi. Je anaweza kulipiza kisasi au kusamehe? Piga picha. Lissu akichaguliwa Tanzania itakuwaje?