Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kila siku siyo JumapiliKwa kudumbukiza hivi vikaratasi na mfumo huuhuu au kuteuliwa?
Nitagawa uroda kwa mademu wote wazuri bureJapo simpigii kampeni, nani ajuaye mipango ya Mungu. Katika gombea gombea ikatokea Tundu Lissu akachaguliwa kuwa rais, utanya nini au utajisikiaje? Nakumbuka. Alimuonya Magufuli juu ya uvunjaji wa sheria za mikataba akataka kumuwahisha kuzima akaishia kuwahi yeye. Alinusurika kuuliwa. Hakuuguzwa kama sheria inavyotaka kuhusiana na haki za wabunge. Hakulipwa fedha yake halali kama mbunge. Alinyang'anywa hata ubunge wake kwenye kejeli ya mwaka 2020 ilioyoitwa uchaguzi. Je anaweza kulipiza kisasi au kusamehe? Piga picha. Lissu akichaguliwa Tanzania itakuwaje?
Siyo " kulipiza kisasi", sijui kwa nini umeona maneno hayo ndiyo sahihi kutumiwa. Kama kuna sheria zimevunjwa, hao waliovunja sheria wakifikishwa mbele ya mahakama wewe utaona ni "kulipiza kisasi"?Japo simpigii kampeni, nani ajuaye mipango ya Mungu. Katika gombea gombea ikatokea Tundu Lissu akachaguliwa kuwa rais, utanya nini au utajisikiaje? Nakumbuka. Alimuonya Magufuli juu ya uvunjaji wa sheria za mikataba akataka kumuwahisha kuzima akaishia kuwahi yeye. Alinusurika kuuliwa. Hakuuguzwa kama sheria inavyotaka kuhusiana na haki za wabunge. Hakulipwa fedha yake halali kama mbunge. Alinyang'anywa hata ubunge wake kwenye kejeli ya mwaka 2020 ilioyoitwa uchaguzi. Je anaweza kulipiza kisasi au kusamehe? Piga picha. Lissu akichaguliwa Tanzania itakuwaje?
Huyo aliye nao sasa hivi unasemaje?U Rais sio kama viroba unakunywa
Katiba mpya tu inatosha pia miaka 5 tu itamtosha kurejesha tanganyika akimaliza hii kazi akapumuzikeJapo simpigii kampeni, nani ajuaye mipango ya Mungu. Katika gombea gombea ikatokea Tundu Lissu akachaguliwa kuwa rais, utanya nini au utajisikiaje? Nakumbuka. Alimuonya Magufuli juu ya uvunjaji wa sheria za mikataba akataka kumuwahisha kuzima akaishia kuwahi yeye. Alinusurika kuuliwa. Hakuuguzwa kama sheria inavyotaka kuhusiana na haki za wabunge. Hakulipwa fedha yake halali kama mbunge. Alinyang'anywa hata ubunge wake kwenye kejeli ya mwaka 2020 ilioyoitwa uchaguzi. Je anaweza kulipiza kisasi au kusamehe? Piga picha. Lissu akichaguliwa Tanzania itakuwaje?
Kwani rais wa Tanzania anachuguliwa na kura za raia ile siku ya kura?Kwanza huyo wa kumchagua lisu kuwa rais ni nani? Siamini kama raia wa Tanzania mwenye akili zake timamu anaweza kufanya huo ujinga
Hawezi kuchaguliwa hata kua mwenyekiti wa serikali ya mtaa au kijiji, na kwahivyo nitaendelea na kazi na majukumu yangu ya kuwatumikia wananchi na waTanzania wote kama kawa kama dawa 🐒Japo simpigii kampeni, nani ajuaye mipango ya Mungu. Katika gombea gombea ikatokea Tundu Lissu akachaguliwa kuwa rais, utanya nini au utajisikiaje? Nakumbuka. Alimuonya Magufuli juu ya uvunjaji wa sheria za mikataba akataka kumuwahisha kuzima akaishia kuwahi yeye. Alinusurika kuuliwa. Hakuuguzwa kama sheria inavyotaka kuhusiana na haki za wabunge. Hakulipwa fedha yake halali kama mbunge. Alinyang'anywa hata ubunge wake kwenye kejeli ya mwaka 2020 ilioyoitwa uchaguzi. Je anaweza kulipiza kisasi au kusamehe? Piga picha. Lissu akichaguliwa Tanzania itakuwaje?
Ndoto mbaya hiyo, amkaJapo simpigii kampeni, nani ajuaye mipango ya Mungu. Katika gombea gombea ikatokea Tundu Lissu akachaguliwa kuwa rais, utanya nini au utajisikiaje? Nakumbuka. Alimuonya Magufuli juu ya uvunjaji wa sheria za mikataba akataka kumuwahisha kuzima akaishia kuwahi yeye. Alinusurika kuuliwa. Hakuuguzwa kama sheria inavyotaka kuhusiana na haki za wabunge. Hakulipwa fedha yake halali kama mbunge. Alinyang'anywa hata ubunge wake kwenye kejeli ya mwaka 2020 ilioyoitwa uchaguzi. Je anaweza kulipiza kisasi au kusamehe? Piga picha. Lissu akichaguliwa Tanzania itakuwaje?