Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hautapita muda mrefu,
mara baada ya Tundu Lisu kuondoka chadema, Dr.Wilbroad Peter Slaa atarejea Chadema na kupewa fursa ya moja kwa moja kugombea nafasi urasi Oct 2015.
Huyo ndie hasa alikua chaguo namba moja, kama mgombea urais wa Chadema Oct 2025.
Wanaojaribu kumu-outshine na kumu-thwart boss wa Chadema, 48 laws of power ya Robert Greene itawahukumu.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
mara baada ya Tundu Lisu kuondoka chadema, Dr.Wilbroad Peter Slaa atarejea Chadema na kupewa fursa ya moja kwa moja kugombea nafasi urasi Oct 2015.
Huyo ndie hasa alikua chaguo namba moja, kama mgombea urais wa Chadema Oct 2025.
Wanaojaribu kumu-outshine na kumu-thwart boss wa Chadema, 48 laws of power ya Robert Greene itawahukumu.🐒
Mungu Ibariki Tanzania