Tundu Lissu akijiengua au kubanduliwa CHADEMA, Willbroad Slaa atarejea rasmi na kupewa fursa ya kugombea urais kupitia CHADEMA 2025.

Tundu Lissu akijiengua au kubanduliwa CHADEMA, Willbroad Slaa atarejea rasmi na kupewa fursa ya kugombea urais kupitia CHADEMA 2025.

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hautapita muda mrefu,
mara baada ya Tundu Lisu kuondoka chadema, Dr.Wilbroad Peter Slaa atarejea Chadema na kupewa fursa ya moja kwa moja kugombea nafasi urasi Oct 2015.

Huyo ndie hasa alikua chaguo namba moja, kama mgombea urais wa Chadema Oct 2025.

Wanaojaribu kumu-outshine na kumu-thwart boss wa Chadema, 48 laws of power ya Robert Greene itawahukumu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Mkuu sijawahi kukusikia hata siku moja ukijenga hoja humu za kutatua changamoto lukuki za watanzania 🤔
karibu Jimboni kwangu gentleman, lakini iwe baada ya ya uchaguzi mkuu ujao wa Oct 2025, ili uje uishuhudie Toronto ya Canada, Tanzania.

Infact,
Huenda umekua mvivu kufuatilia hoja na mabandiko yangu ya kibobevu na kitaalamu zaidi.

Huwa ni mabandiko marefu sana kwa mtu mvivu huwa ni kero, but kwasabb fasihi andishi inaishi akikua atakutana nayo tu na atajifunza kwamba mimi Tlaatlaah ndie mwenye mabadiliko mengi zaidi ya kujenga umoja wa kitaifa na kutatua dosari na kasoro mballimbali katika jamii 🐒
 
Hautapita muda mrefu,
mara baada ya Tundu Lisu kuondoka chadema, Dr.Wilbroad Peter Slaa atarejea Chadema na kupewa fursa ya moja kwa moja kugombea nafasi urasi Oct 2015.

Huyo ndie hasa alikua chaguo namba moja, kama mgombea urais wa Chadema Oct 2025.

Wanaojaribu kumu-outshine na kumu-thwart boss wa Chadema, 48 laws of power ya Robert Greene itawahukumu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Ninakazia:

Mwaka huu CCM vifo ni kwa vihoro!

The singular equally apply, vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Hautapita muda mrefu,
mara baada ya Tundu Lisu kuondoka chadema, Dr.Wilbroad Peter Slaa atarejea Chadema na kupewa fursa ya moja kwa moja kugombea nafasi urasi Oct 2015.

Huyo ndie hasa alikua chaguo namba moja, kama mgombea urais wa Chadema Oct 2025.

Wanaojaribu kumu-outshine na kumu-thwart boss wa Chadema, 48 laws of power ya Robert Greene itawahukumu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Habari sijasoma ila ilo la Dkt Slaa kurudi haliwezi kuwa kweli ata kwa sekunde 1.
 
karibu Jimboni kwangu gentleman, lakini iwe baada ya ya uchaguzi mkuu ujao wa Oct 2025, ili uje uishuhudie Toronto ya Canada, Tanzania.

Infact,
Huenda umekua mvivu kufuatilia hoja na mabandiko yangu ya kibobevu na kitaalamu zaidi.

Huwa ni mabandiko marefu sana kwa mtu mvivu huwa ni kero, but kwasabb fasihi andishi inaishi akikua atakutana nayo tu na atajifunza kwamba mimi Tlaatlaah ndie mwenye mabadiliko mengi zaidi ya kujenga umoja wa kitaifa na kutatua dosari na kasoro mballimbali katika jamii 🐒
Sawa mkuu, ila nilitegemea wewe kama ndugu mbunge ndio uwe na chawa wako humu kwa hoja nzito ila wewe eti ndio umekuwa chawa gentleman 🐒
 
Sawa mkuu, ila nilitegemea wewe kama ndugu mbunge ndio uwe na chawa wako humu kwa hoja nzito ila wewe eti ndio umekuwa chawa gentleman 🐒
Gentleman,
mimi ni mwanasiasa ambae sihitaji msaidizi. Mimi ni kijana moto bongo kali.

utanidrive kwenda kazini na safari za mbali za kazi za umma pekee..

Otherwise,
nafanya mambo mengine yote mwenyewe binafsi. Nadhan bado sihitaji msaidizi wa karibu sana japo ni muhimu, na yupo ila anakula good time sana..

kwa mfano cheki hapo chini, aridhi inavyopata tabu kwa kilimo. Na hiyo ni mimi mwenyewe nafanya hivyo shambani kwangu, gentleman 🐒
 

Attachments

  • VID_20240105_131805.mp4
    6.7 MB
Gentleman,
mimi ni mwanasiasa ambae sihitaji msaidizi. Mimi ni kijana moto bongo kali.

utanidrive kwenda kazini na safari za mbali za kazi za umma pekee..

Otherwise,
nafanya mambo mengine yote mwenyewe binafsi. Nadhan bado sihitaji msaidizi wa karibu sana japo ni muhimu, na yupo ila anakula good time sana..

kwa mfano cheki hapo chini, aridhi inavyopata tabu kwa kilimo. Na hiyo ni mimi mwenyewe nafanya hivyo shambani kwangu, gentleman 🐒
Sawa gentleman wala usijali sana 🐒
 
Sawa gentleman wala usijali sana 🐒
Gentleman,
mie najali kila kitu huwa sipuuzi kabisa hasa kwenye kilimo, biashara, ufugaji, mahusiano na siasa. Najali sana mambo haya 🐒
 
Hautapita muda mrefu,
mara baada ya Tundu Lisu kuondoka chadema, Dr.Wilbroad Peter Slaa atarejea Chadema na kupewa fursa ya moja kwa moja kugombea nafasi urasi Oct 2015.

Huyo ndie hasa alikua chaguo namba moja, kama mgombea urais wa Chadema Oct 2025.

Wanaojaribu kumu-outshine na kumu-thwart boss wa Chadema, 48 laws of power ya Robert Greene itawahukumu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Itakuwa ni bora kukukodi wewe kwa malipo nafahamu huwezi kataa.
 
Fafanua kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau gentleman 🐒

Katika picha mnasomeka vizuri mno!

IMG_20211016_132442_593.jpg


Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Hautapita muda mrefu,
mara baada ya Tundu Lisu kuondoka chadema, Dr.Wilbroad Peter Slaa atarejea Chadema na kupewa fursa ya moja kwa moja kugombea nafasi urasi Oct 2015.

Huyo ndie hasa alikua chaguo namba moja, kama mgombea urais wa Chadema Oct 2025.

Wanaojaribu kumu-outshine na kumu-thwart boss wa Chadema, 48 laws of power ya Robert Greene itawahukumu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kawe Alumni, Bia yetu na sasa ni Tlaatlaah ni mtu mmoja chawa la fisiemu huibukaga uchaguzi unapokaribia
 
Kawe Alumni, Bia yetu na sasa ni Tlaatlaah ni mtu mmoja chawa la fisiemu huibukaga uchaguzi unapokaribia
eleza ukweli gentleman kwamba Tlaatlaah huibua hoja muhimu na za maana sana kuhusu siasa za ndani ya vyama vya siasa hasa nyakati za chaguzi.

Ni muhimu sana kufuatilia mambo haya kwa umakini na ukaribu mkubwa sana 🐒
 
Back
Top Bottom