Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akipitishwa kugombea na chama chake, asitume hii kauli mbiu kwani tayari kuna mtu ameshaiharibu na imeshakosa mvuto kwa watanzania wengi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akipitishwa kugombea na chama chake, asitume hii kauli mbiu kwani tayari kuna mtu ameshaiharibu na imeshakosa mvuto kwa watanzania wengi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Japo hili bango huwezi sema ni la kampeni,lakini ni wazi iwapo Lissu atapitishwa,bango kama hili linaweza kutumika na huenda kwa sasa wana-test tu mitambo.

Ushauri wangu:kauli mbiu hii kwa sasa sio tu imeshachuja,bali inaonekana ni sawa na kuwadanganya watu wazima maana kuna mtu hakuitendea haki na imegeuka kero masikioni mwa watu hivyo si busara kuitumia japo Lissu atakuwa ni mtu tofauti.Jambo lingine kingine ni ukweli kuwa, kauli mbiu hii imekaa kisiasa zaidi kwa maana ya kwamba inaleta picha au hisia za kuwa iko kisiasa zaidi(inaleta impression waipatayo wananchi pale wanapomuona mwanasiasa fulani akigawa fedha mitaani au kuchimba mtaro wa maji au kujenga ukuta).

Tafuteni kauli mbiu zenye ku-reflect uwezekana wa kutekelezeki na sio zinye kuonyesha maneno matamu yenye muelekeo wa ulaghai wa kisiasa kwa wananchi.

Kwa mfano,leo hii ukija na kauli yenye kufanana na ile ya "maisha bora kwa kila mtanzania" jiandae tu kupoteza wapiga kura wengi na kura nyingi.

1593028449125.png
 
Japo hili bango huwezi sema ni la kampeni,lakini ni wazi iwapo Lissu atapitishwa,bango kama hili linaweza kutumika na huenda kwa sasa wana-test tu mitambo.

Ushauri wangu:kauli mbiu hii kwa sasa sio tu imeshachuja,bali inaonekana ni sawa na kuwadanganya watu wazima maana kuna mtu hakuitendea haki na imegeuka kero masikioni mwa watu hivyo si busara kuitumia japo Lissu atakuwa ni mtu tofauti.Jambo lingine kingine ni ukweli kuwa, kauli mbiu hii imekaa kisiasa zaidi kwa maana ya kwamba inaleta picha au hisia za kuwa iko kisiasa zaidi(inaleta impression waipatayo wananchi pale wanapomuona mwanasiasa fulani akigawa fedha mitaani au kuchimba mtaro wa maji au kujenga ukuta)

Tafuteni kauli mbiu zenye ku-reflect uwezekana wa kutekelezeki na sio zinye kuonyesha maneno matamu yenye muelekeo wa ulaghai wa kisiasa kwa wananchi

Kwa mfano,leo hii ukija na kauli yenye kufanana na ile ya "maisha bora kwa kila mtanzania" jiandae tu kupoteza wapiga kura wengi na kura nyingi

View attachment 1488061
Kabisa yaani . Tena inakera maana kuna mtu kaitia unajisi.
 
Akirudi,Akipitishwa,Akigombea,Akitumia kauli mbiu.

Just Aki.
 
Japo hili bango huwezi sema ni la kampeni,lakini ni wazi iwapo Lissu atapitishwa,bango kama hili linaweza kutumika na huenda kwa sasa wana-test tu mitambo.

Ushauri wangu:kauli mbiu hii kwa sasa sio tu imeshachuja,bali inaonekana ni sawa na kuwadanganya watu wazima maana kuna mtu hakuitendea haki na imegeuka kero masikioni mwa watu hivyo si busara kuitumia japo Lissu atakuwa ni mtu tofauti.Jambo lingine kingine ni ukweli kuwa, kauli mbiu hii imekaa kisiasa zaidi kwa maana ya kwamba inaleta picha au hisia za kuwa iko kisiasa zaidi(inaleta impression waipatayo wananchi pale wanapomuona mwanasiasa fulani akigawa fedha mitaani au kuchimba mtaro wa maji au kujenga ukuta)

Tafuteni kauli mbiu zenye ku-reflect uwezekana wa kutekelezeki na sio zinye kuonyesha maneno matamu yenye muelekeo wa ulaghai wa kisiasa kwa wananchi

Kwa mfano,leo hii ukija na kauli yenye kufanana na ile ya "maisha bora kwa kila mtanzania" jiandae tu kupoteza wapiga kura wengi na kura nyingi

View attachment 1488061
Wanyonge wako dhoofu Hali.
Hio ni sawa na ile ya Hapa kazi huku umasikini ukiongezeka kwa kasi ya 4G Leo ukienda Kijiji na elf 10 huwezi nunua kitu upati chenji zunguka Kijiji kizima.
 
Japo hili bango huwezi sema ni la kampeni,lakini ni wazi iwapo Lissu atapitishwa,bango kama hili linaweza kutumika na huenda kwa sasa wana-test tu mitambo.

Ushauri wangu:kauli mbiu hii kwa sasa sio tu imeshachuja,bali inaonekana ni sawa na kuwadanganya watu wazima maana kuna mtu hakuitendea haki na imegeuka kero masikioni mwa watu hivyo si busara kuitumia japo Lissu atakuwa ni mtu tofauti.Jambo lingine kingine ni ukweli kuwa, kauli mbiu hii imekaa kisiasa zaidi kwa maana ya kwamba inaleta picha au hisia za kuwa iko kisiasa zaidi(inaleta impression waipatayo wananchi pale wanapomuona mwanasiasa fulani akigawa fedha mitaani au kuchimba mtaro wa maji au kujenga ukuta)

Tafuteni kauli mbiu zenye ku-reflect uwezekana wa kutekelezeki na sio zinye kuonyesha maneno matamu yenye muelekeo wa ulaghai wa kisiasa kwa wananchi

Kwa mfano,leo hii ukija na kauli yenye kufanana na ile ya "maisha bora kwa kila mtanzania" jiandae tu kupoteza wapiga kura wengi na kura nyingi

View attachment 1488061


Aliotaka wakae lockdown bila plan ya kuwalisha?
 
Wanyonge means dhoofu Hali people,watu hoehae watu hoe hae wasio mbele mtaji wa wanasiasa thamani yao ni wakati wa uchaguzi tu a futureless people waliofunikwa kwa blanketi la mtetezi wa wanyonge huku wakinyongwa kivitendo kwa kusomeshwa namba ili watopee kwenye ufukara ili waweze kutawaliwa.
 
'' Mtetezi wa Haki"

Inatosha sana kumweleza Tundu Lissu; na itaeleza moja kwa moja kinyume cha huyo anayepambana naye kwenye uchaguzi.
Sure.

Huyu mtetezi wa wanyonge anachagua sana wanyonge wa kuwatetea.
 
KUWA MZALENDO SHIRIKI UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020 (RAIS, WABUNGE NA MADIWANI) KWA MAANA NI HAKI YAKO YA MSINGI SANA KIKATIBA
Kamanda,haki ina wajibu wake. Watawala wana wajibu wa kuendesha na kusimamia haki kwenye jamii,kinyume chake kutumia hila na udanganyifu ili chama fulani lionekane kimeshinda...mwisho wa siku tutakuwa kuuana kwa kuona kila mara ubabe na udanganyifu unatawala.
 
Ana mshahara wake

Well kwa mujibu wa kauli yake yeye mwenyewe alisema tuna akiba ya mabilioni ya dola kuwezesha kila mtanzania kula na kunywa bila kufanya kazi kwa miezi sita.
Kwa hiyo kwa mipesa yote hiyo hakuna ambaye angekufa kwa njaa kwa lockdown ya kimwezi kimoja au viwili. Ni ubishi wake tu!
 
Japo hili bango huwezi sema ni la kampeni,lakini ni wazi iwapo Lissu atapitishwa,bango kama hili linaweza kutumika na huenda kwa sasa wana-test tu mitambo.

Ushauri wangu:kauli mbiu hii kwa sasa sio tu imeshachuja,bali inaonekana ni sawa na kuwadanganya watu wazima maana kuna mtu hakuitendea haki na imegeuka kero masikioni mwa watu hivyo si busara kuitumia japo Lissu atakuwa ni mtu tofauti.Jambo lingine kingine ni ukweli kuwa, kauli mbiu hii imekaa kisiasa zaidi kwa maana ya kwamba inaleta picha au hisia za kuwa iko kisiasa zaidi(inaleta impression waipatayo wananchi pale wanapomuona mwanasiasa fulani akigawa fedha mitaani au kuchimba mtaro wa maji au kujenga ukuta)

Tafuteni kauli mbiu zenye ku-reflect uwezekana wa kutekelezeki na sio zinye kuonyesha maneno matamu yenye muelekeo wa ulaghai wa kisiasa kwa wananchi

Kwa mfano,leo hii ukija na kauli yenye kufanana na ile ya "maisha bora kwa kila mtanzania" jiandae tu kupoteza wapiga kura wengi na kura nyingi

View attachment 1488061
Uko sahihi!
 
Back
Top Bottom