Tundu Lissu akirudi nchini itakuwa kama George Floyd, Tanzania itazizima

Happy usitegemee wanasiasa tena. Kuna uwezekano tuka record risasi au bomu la Kwanza kupinga ukandamizaji
 
Natabiri Lisu akirudi atapokelewa na raia wachache kuliko walio ipokea ile Bombardier ya kwanza
 
Naona unatumia muda mwingi kurudia rudia kuwa wewe ni CCM???
unafikiri Ngombe hata akirudia mara Elfu kuwa yeye ni Simba atabadilika na kuwa Simba??? Bora ungestick kwenye hoja yako na sio kutumia muda mwingi kujibadilisha kitu ambacho hakikusaidii chochote....

Turudi kwenye hoja; wewe unaonekana msomi ila hutumii Elimu yako vizuri bali unatumia hisia kitu ambacho sio sawa; Acha wale ambao hawajabahatika kupata elimu wachambue hivyo ila kwa uchambuzi wako ndio mnafanya wasomi wa siku hizi wasipate sifa stahiki au kwa lugha nyingine wadharauliwe!!!
 
Kwa mwenye Akili timamu kabisa na zinazomtosha Kichwani akiyasoma haya Maelezo yako itakuwa ni ngumu Kuamini Wewe ni mwana CCM hasa.
 
Natabiri Lisu akirudi atapokelewa na raia wachache kuliko walio ipokea ile Bombardier ya kwanza
Wala hawatakiwi watu wengi kwenda kumpokea. Kinachotakiwa ni maneno yake ya kuondosha ukandamizaji wa demokrasia wakati wa Kampeni zake
 
Kwa mwenye Akili timamu kabisa na zinazomtosha Kichwani akiyasoma haya Maelezo yako itakuwa ni ngumu Kuamini Wewe ni mwana CCM hasa.
Msomi wewe hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…