Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Haki, Lissu mpenda hakaInaweza kuwa kama ndoto, lakini mambo haya hutokea...
Hakuna aliyejua kuwa Mzee John P. Magufuli angekufa mwezi uliopita. Wengi walidhani na hata kuanza kufikiri kubadili katiba ya nchi ili imruhusu atawale milele...
Yaani walidhaniaga ni kweli kabisa yeye ni JIWE na kwa hiyo haliwezi kufa kwa sababu liliumbwa hivyo....kutokufa..!
Mara paah, katika wakati ambao hakuna aliyedhani na from NO WHERE mzee wa watu kabatizwa jina jipya, "MWENDAZAKE".....yaani akafa kifo cha mwili, kifo cha kawaida..
Sasa lipo hili. Ni gumu lakini FROM NO WHERE, linaweza kutokea hata kuacha midomo ya wahifidhina wa CCM wazi wasijue nini kimetokea na nini cha kufanya kuzuia lisiwe.!!
Si mama a.k.a "Malkia wa sauti nyororo" amesema, ktk kuteua watu wa kumsaidia na kusadia kusukuma maendeleo ya nchi mbele hatajali sana "kuta" za itikadi za kisiasa...?
Sasa, fikiri nje ya box kidogo.
Kwamba, mara waaah bin vuuh, anaamua kusafiri hadi Ubelgiji na kuamua kumleta Tundu A. M Lissu na kisha kumteua kuwa DPP, unafikiri nini kitatokea..?
Wallahi, CCM kutachafuka. Nafikiri pia kuwa, serikali yote ukiondoa Rais Samia Suluhu Mwenyewe itakuwa "under cold protest" kwa hofu ya usalama wao...!!
Remember this, THERE IS NOTHING IMPOSSIBLE UNDER THE SUN...
Anaweza SanaLissu kama Lissu ndani ya kundi la mafisi hawezi kuleta mabadiliko
Mmeanza kunyooka si mlikuwa mkisema wakati wa Shujaa wenu mazeze kuwa Lissu akitia mguu Tanzania mtamchoma Sindano ya Sumu kali
Zile nondo kaka sio za mchezo. Stress alizompiga jamaa zimeleta athari kubwa hadi mzee kaondokaAnaweza Sana
Baada ya zile risasi watu alidai hatorudi kwenye siasa wala nchini mwake.
Alirudi na nondo alizipiga kisawasaw
mahabsu na wafungwa walioonewaMagereza yatabaki matupu au wafungwa watalala na kugeuka vizuri,maana wahabusu wengi wataachiwa
shujaa aliyekufa kilofaKunyooka mmenyooka nyie mnaompigia salute Ironlady zao bora kabisa la shujaa JPM
Huyo Tundu anaendelea kukimbia bila kukimbizwa mbio za laana ya uongo
Isije kuwa ni mbinu za kutaka kupunguza nguvu ya wapinzani maana 2025 sio Mbali tukiwa hai moto ni ule uleKama nakuelewa vilee😎
Na lile angalizo kwa Wazee juzi bila shaka kunaweza kuwepo na cha kuistaajabisha jamii siku si nyingi.
hahaaAngejifungulia mashtaka hadi yeye mwenyewe likiwemo la kupigwa risasi 16 na kugoma kufa.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Rabda awe DPP wa mahakama ya Nungwi au Chakechake
shujaa aliyekufa kilofa
Akuna mkate mgumu mbele ya tea.Kelele zitaisha wakati tuna Katiba Mpya na Tume Mpya HURU ya Uchaguzi
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavuKunyooka mmenyooka nyie mnaompigia salute Ironlady zao bora kabisa la shujaa JPM
Huyo Tundu anaendelea kukimbia bila kukimbizwa mbio za laana ya uongo
Katika harakati za kiasiasa ulimuona na makosa gani yaliyokubalika kisheria mbali na kesi za kubumba?Lisu maneno kibao hana hekima ya kupewa cheo nyeti kama hichoo. Yeye aendelee kunufaisha wana mitandaoni huko huko
Biswalo Nadhani kakataa kuwatoa akina sethi, ndo maana kaondolewa. Tutamkumbuka sanaAngefanya kazi kwa kufuata sheria, kanuni taratibu zilizopo kama Biswalo tuu
Wala hapangekua na jipya
Mwambie apeleke ushaidi wake juuu ya kushambuliwa kwake. Mpenda haki anakimbia kesi mahakamanii?? Hata kama nizakubambikizwa ndotungeona anavyozipangua kwa sheria, siokukimbilia huko kwa beberuuu.Katika harakati za kiasiasa ulimuona na makosa gani yaliyokubalika kisheria mbali na kesi za kubumba?
Anapenda haki na atatenda haki na ameonesha hayo kabla.
Haiwezi kutokea na inaonekana umekula mayai viza sasa unacheua uhalo bila kujijua.Inaweza kuwa kama ndoto, lakini mambo haya hutokea...
Hakuna aliyejua kuwa Mzee John P. Magufuli angekufa mwezi uliopita. Wengi walidhani na hata kuanza kufikiri kubadili katiba ya nchi ili imruhusu atawale milele...
Yaani walidhaniaga ni kweli kabisa yeye ni JIWE na kwa hiyo haliwezi kufa kwa sababu liliumbwa hivyo....kutokufa..!
Mara paah, katika wakati ambao hakuna aliyedhani na from NO WHERE mzee wa watu kabatizwa jina jipya, "MWENDAZAKE".....yaani akafa kifo cha mwili, kifo cha kawaida..
Sasa lipo hili. Ni gumu lakini FROM NO WHERE, linaweza kutokea hata kuacha midomo ya wahifidhina wa CCM wazi wasijue nini kimetokea na nini cha kufanya kuzuia lisiwe.!!
Si mama a.k.a "Malkia wa sauti nyororo" amesema, ktk kuteua watu wa kumsaidia na kusadia kusukuma maendeleo ya nchi mbele hatajali sana "kuta" za itikadi za kisiasa...?
Sasa, fikiri nje ya box kidogo.
Kwamba, mara waaah bin vuuh, anaamua kusafiri hadi Ubelgiji na kuamua kumleta Tundu A. M Lissu na kisha kumteua kuwa DPP, unafikiri nini kitatokea..?
Wallahi, CCM kutachafuka. Nafikiri pia kuwa, serikali yote ukiondoa Rais Samia Suluhu Mwenyewe itakuwa "under cold protest" kwa hofu ya usalama wao...!!
Remember this, THERE IS NOTHING IMPOSSIBLE UNDER THE SUN...