Tundu Lissu akiwa DPP mpya, unadhani nini kitatokea?


Hawajui hata wanachokitaka
 
Unamzunguzia Slaa aliyeshindwa uongozi wa kanisa na kutunza familia yake na kuishi na hawara? Au Slaa yupi?

Ikiwa risasi zaidi ya 30 zilishindwa kumu9ndoa Lissu kwenye mstari hayo maneno yenu ya kejeli hayawezi kumfanya kitu!
 
Atageuka kuw mtu wa hovyo haijawah tokea..Wote ha akina kibafaka siku wakilogwa wsikilize matumbo yao bas ndio kwisha habar yao kitaaluma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…