Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akiwasili nchini atakamatwa na kuwekwa mahabusu baada ya wadhamini wake kujitoa, atafanyaje kampeni?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akiwasili nchini atakamatwa na kuwekwa mahabusu baada ya wadhamini wake kujitoa, atafanyaje kampeni?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lissu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lissu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lissu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
 
CCM mnaingia mtegoni kichwakichwa!!

Lissu,kama mwanasheria,anajua yote haya ila ni wazi ana mipango yake na ili itimie,ni shariti muingie mkenge.

Naamini hivyo mimi kama mimi.
Naona kama yeye ndio ataingia mkenge!
 
Hatakuwa na sifa ya kugombea kwa kuwa yuko kifungoni labda akate rufaa
 
Aje mapema yeye dereva wake.
Washalipaka sana matope jeshi la polisi.
Analopoka hovyo uko kwa mabeberu.
 
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
ndiposa tutaposhuhudia mtu "akigadafiwa" na rungu la magharibi!
 
Ndivyo mlivyopanga au unasema tu, hiyo taarifa imewahi kutolewa na mahakama lini?
 
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
Kumweka ndani tu ni kampeni tayari.
 
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
Ndio atakamatwa,lakini atapata wadhamini wengine na atadhamiwa tena
 
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
Maccm hamna akili kabisaaaaa
 
Back
Top Bottom