Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Mbona mnatapatapa Sana si ndo vizuri ili aje mmgaragaze Kama kweli mnakubalikaNdiyo mlichobaki nacho cha kutegemea mabeberu watz wamewakataa. Lissu ni ndoto kuongoza TZ anapoteza muda wake na familia yake tu.