Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akiwasili nchini atakamatwa na kuwekwa mahabusu baada ya wadhamini wake kujitoa, atafanyaje kampeni?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akiwasili nchini atakamatwa na kuwekwa mahabusu baada ya wadhamini wake kujitoa, atafanyaje kampeni?

Mapimbi wa Lumumba mshaanza kujinyea nyea subirini dawa iwaingie fresh washamba wakubwa nyie
 
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu.
 
Mahakama inamtafuta zaidi ya mwaka. Wadhamini wamebwaga manyanga,muwe mnasoma magazeti kama Uhuru na Mzalendo kupata ukweli.
Uhuru? Hilo gazeti lenye mauzo hafifu yaani biashara mbovu yaani halipendwi
 
Ndiyo mlichobaki nacho cha kutegemea mabeberu watz wamewakataa. Lissu ni ndoto kuongoza TZ anapoteza muda wake na familia yake tu.
Hao mabeberu ndiyo wahisani kwenye bajeti na miradi ya maendeleo
 
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
Mnahangaika mno!

Hii nchi siyo yenu peke yenu. Mnataka kuwalazimisha waTanzania wenzenu wasiokubali upuuzi wenu watafute njia zisizokuwa za staha kuuzima upuuzi wenu huu.

Mtachukua lawama zote hilo likitokea.
 
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
Alikimbia kesi?
 
Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.

Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.

Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?

Kwenu makamanda.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu kwa wazalendo wote mm naona tu mpige mawe mpka afe alikuwa anatukwamisha kwenye majadiliano na barrick akasema tutashtakiwa mbona jamaa wamesha achia dola million 100 yule c mtanzania mwenzetu ni mkanada
 
Tundulisu mkumbuke kwanza Ana kesi ya uchochezi kabla ya yote pia atatakiwa aje athibitishe tuhuma zake alizokua akimtupia Rais wazi wazi na kumchafua Rais na serekal yake kwa mabeberu

Tunataka aje atuthibitishie Yale alio kua anaongea nje
 
Ndyo mtamweka ila Ulimwengu mzma utatambua Lissu yupo gerezani sababu kaja kugombea uraisi. Hii itakuwa kampain tosha.
 
Sio watanzania sema chadema watanzania wako bize na Mambo Yao hii nch inagombewa na wanasiasa tu Sio watanzania wote
Mnahangaika mno!

Hii nchi siyo yenu peke yenu. Mnataka kuwalazimisha waTanzania wenzenu wasiokubali upuuzi wenu watafute njia zisizokuwa za staha kuuzima upuuzi wenu huu.

Mtachukua lawama zote hilo likitokea.
 
CCM mnaingia mtegoni kichwakichwa!!

Lissu,kama mwanasheria,anajua yote haya ila ni wazi ana mipango yake na ili itimie,ni shariti muingie mkenge.

Naamini hivyo mimi kama mimi.
Naona kwa mbaliiiii CIVIL Disobidient 🤨🤨🤨
 
IMG-20200608-WA0001.jpg
 
' Huenda ' kinachotokea USA kikatokea hapa pia..
Mhamiaji haramu hana furaha Hadi ahakikishe nchi imesambaratika kwa faida ya nchi yake,Kama ameweza ivuruga familia yake na pepo la uvurugaji furaha yake ni kuona kila kitu ni mvurugiko.
 
Bwashee mbona simple tu, hao wamejitoa watamkabidhi Lissu mahakamani, watapatikana wadhamini wengine. Kesi yake siyo ya uhujumu uchumi wala utakatishaji pesa, kwamba haina dhamana.
Anateseka sana huyo jamaa. Mpaka kuna wakati nawaza huyu johnthebaptist jee ndiye huyu huyu mzee mwenyewe Yohana Mvinyo Komeo? Mbona anamuogopa sana Mungwai?
 
Back
Top Bottom