Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Mbona mnatapatapa Sana si ndo vizuri ili aje mmgaragaze Kama kweli mnakubalikaNdiyo mlichobaki nacho cha kutegemea mabeberu watz wamewakataa. Lissu ni ndoto kuongoza TZ anapoteza muda wake na familia yake tu.
Mnataka wewe na nani? Usitupotezee muda hapa, kaa pembeni ya computer yako au simu yako na hakikisha una bundle la kutosha usubiri hotuba ili uchangamshe akili.Tundulisu mkumbuke kwanza Ana kesi ya uchochezi kabla ya yote pia atatakiwa aje athibitishe tuhuma zake alizokua akimtupia Rais wazi wazi na kumchafua Rais na serekal yake kwa mabeberu
Tunataka aje atuthibitishie Yale alio kua anaongea nje
Lissu hahitaji kufanya campaign. Nawe Unajua .Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.
Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.
Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?
Kwenu makamanda.
Maendeleo hayana vyama!
Kwema kabisa kamanda...Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.
Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.
Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?
Kwenu makamanda.
Maendeleo hayana vyama!
Kifungoni ni hadi uwe umehukumiwa haya ni mambo ya kitaalamuHatakuwa na sifa ya kugombea kwa kuwa yuko kifungoni labda akate rufaa
Hao ni tishio kwa chama tawala? Vyama vyao vina wabunge na madiwani wangapi kwa ujumla wao?
Hiyo ni kesi ina dhamana atapambana nayo.Iko wazi kwamba wadhamini wa Tundu Lisu katika ile kesi ya uchochezi inayomkabili wameiomba mahakama iwaruhusu wajitoe.
Mahakama imewataka wadhamini wamkabidhi Lisu mahakamani ndipo wajitoe, hii maana yake Tundu Lisu atakapowasili tu atatiwa mbaroni na kutupwa rumande.
Najiuliza tu atashirikije kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais kutokea Segerea?
Kwenu makamanda.
Maendeleo hayana vyama!
Akifika tu pinguMapimbi wa Lumumba mshaanza kujinyea nyea subirini dawa iwaingie fresh washamba wakubwa nyie