Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Lissu ni nyumba ya bati hakuna siri hapo!View attachment 2924976
Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .
Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .
Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .
Ni WatanzaniaHahahahhaha, Azim dewji ni nani na Tundu lissu ni nani.
Watanzania wawili wakutana kujadili mambo Yao.Ni Watanzania
Tuko makini mno ! japo huyu mzee pia ni mhanga mno wa ccmLissu huyo Mzee awe nae macho.
Wanasiasa wametumwa pesa wewe subiri siku ya maandamano.Lissu huyo Mzee awe nae macho.
Unawezaje kusema Azim ni muhanga wa CCM, kwangu mimi ni mmoja wa wanufaika wa CCM.Tuko makini mno ! japo huyu mzee pia ni mhanga mno wa ccm
Kitaeleweka 2025Tuko makini mno ! japo huyu mzee pia ni mhanga mno wa ccm
Sio kwa Lisu huyu ninayemjua. Huyo jamaa "compressor" ya friji lake ni mbovu. Ni sulaa la muda na mahali sahihi kwake ataropoka kila kitu. Sitegemei awe ameingia mkenge kama marehemu Mtikila aliposainishwa "petty cash voucher" na Rostitamu ikawa mwiba kwake kupambana na wale aliokuwa anawaita magabachori. Kale ka "petty cash voucher" kalivyochapishwa tu gazetini na saini yake ikaonekana basi kelele zikapungua.Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .
Kwanza Dewji hana hela ya kumlipa Lissu , halafu haya mazungumzo hayahusiani na helaSio kwa Lisu huyu ninayemjua. Huyo jamaa "compressor" ya friji lake ni mbovu. Ni sulaa la muda na mahali sahihi kwake ataropoka kila kitu. Sitegemei awe ameingia mkenge kama marehemu Mtikila aliposainishwa "petty cash voucher" na Rostitamu ikawa mwiba kwake kupambana na wale aliokuwa anawaita magabachori. Kale ka "petty cash voucher" kalivyochapishwa tu gazetini na saini yake ikaonekana basi kelele zikapungua.
Ni wangapi walinufaika na wakawa wahanga ? unamkumbuka Yusuph Manji ?Unawezaje kusema Azim ni muhanga wa CCM, kwangu mimi ni mmoja wa wanufaika wa CCM.
Prof Ndumilakuwili na Bob Mazishi wamekutana πLissu huyo Mzee awe nae macho.
ni vizur kusalimiana na kusabahiana kama hamna kazi ingine,View attachment 2924976
Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .
Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .
Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .
Ni Jambo la Kheri Ndugu wakikutana na kuteta Jambo.View attachment 2924976
Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .
Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .
Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .
Ni wangapi walinufaika na wakawa wahanga ? unamkumbuka Yusuph Manji ?