Tundu Lissu akutana na Azim Dewji

Tundu Lissu akutana na Azim Dewji

Mo Dewji ni mwanasingida. Ukute na Azim naye ambaye ni ndugu wa Mo naye ni mwanasingida pia. Kwa hiyo wanasingida kukutana siyo mbaya.

Inasemekana Mo alisaidia mpunga wa matibabu ya Lissu kisirisiri kwa hiyo may be familia ya Dewji wana mengi ya kuongea na mwanasingida mwenzao.
 
View attachment 2924976
View attachment 2925198

Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .

Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .

Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .
Dewji sahivi ni Msemaji Mkuu wa Serikali?
 
View attachment 2924976
View attachment 2925198

Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .

Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .

Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .

Safi sana kuona wanyaturu wawili wakikutana, na kuwa siasa haziwezi kuwatenganisha ndugu hawa wawili


View: https://m.youtube.com/watch?v=q1nueVSLxgA
 
View attachment 2924976
View attachment 2925198

Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .

Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .

Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .
Huyu jamaa si ndio alitoa ushauri wake kwa chadema kuhusu maandamano au?
 
Back
Top Bottom