Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Siku zote shetani hana rafikiKama ulikuwa sehemu yao kwenye kukandamiza haki za wengine na kudhulumu wengine siku mkigeukana sidhani kama tunaweza kukuamini.
Asante kwa kulijua hili, mashetani ni watu na watu wenyewe ndio sisi, Mimi na wewe.Siku zote shetani hana rafiki
Ulemavu kaupata kwa wenzake humo humo chadomoHawa Wazee kama wana Busara kwanini wasishauri Serikali iwasake wale wote waluohusika na kumtia Lissu ULEMAVU WA KUDUMU?
We Paka tulia basi,Hahahahhaha, Azim dewji ni nani na Tundu lissu ni nani.
Ni Mnyaturu wawiliHahahahhaha, Azim dewji ni nani na Tundu lissu ni nani.
Azim anaongea Fluent Kinyaturu.Hahahahhaha, Azim dewji ni nani na Tundu lissu ni nani.
Ni Watanzania kama mie na weweHahahahhaha, Azim dewji ni nani na Tundu lissu ni nani.
Ni Watanzania kama mie na weweHahahahhaha, Azim dewji ni nani na Tundu lissu ni nani.
Siri ni ya mke na mume. Mwanamme mwenzio mnazungumza siri ya nini? Labda mkiwa mnabunduanaLissu ni nyumba ya bati hakuna siri hapo!
Dewji sahivi ni Msemaji Mkuu wa Serikali?View attachment 2924976
View attachment 2925198
Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .
Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .
Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .
View attachment 2924976
View attachment 2925198
Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .
Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .
Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .
Huyu jamaa si ndio alitoa ushauri wake kwa chadema kuhusu maandamano au?View attachment 2924976
View attachment 2925198
Mfadhili wa Zamani wa Simba na Mfanyabiashara wa Tanzania , Mnyaturu wa Singida , Azim Dewji , amekutana na Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , katika kilichoitwa Kikao cha dharula , kilichofanyika kwenye Hotel moja ya Nyota 5 Jijini DSM .
Lissu na Dewji wamezungumza mengi likiwemo la Waandamanaji kuacha njia ili watu wengine wapite bila bughudha , Japo hili ni la Polisi zaidi lakini Tundu Lissu amelipokea .
Mengine yaliyozungumzwa hayatawekwa hadharani .