Wengine wote waonga na majambazi tuTundu Lissu ndio mtetezi wa kweli wa wanyonge
Daudi wa wakati wa Saul wa YerusalemKiongozi anayejali utu na haki, Hakuna mwingine Ni yeye
Vipi Magu alishasaidia nini kwenye jamii kupitia elimu yake ya maganda ya korosho?Hiyo ndio sera yake?!
Huyu ndio mtetezi wa wanyonge kweli,sio bwana moja anaebomoa nyumba za wananchi wake sijui wakaishi wapi
Huyu ndiye Mzee Nyaswi wa Nyamongo. Alihukumiwa miaka 30 jela kwa kupinga unyonyaji na unyanyasaji wa wawekezaji mgodini, enzi za utawala wa Rais Ben Mkapa. Lissu aliingilia kati kumtetea hadi hukumu ikafutwa, mzee akarejea uraiani. Leo wamekutana tena Nyamongo.
Kutu zimemjaa hadi kwnye ubongoVipi Magu alishasaidia nini kwenye jamii kupitia elimu yake ya maganda ya korosho?
Hiyo ndio sera yake?!
Alikuwa anafanya kazi yake ya uwakili- hakuna jipya hapo- ILA PIA- ALIWAHI KUMTUKANA BABA WA TAIFA
Huyu ndiye Mzee Nyaswi wa Nyamongo. Alihukumiwa miaka 30 jela kwa kupinga unyonyaji na unyanyasaji wa wawekezaji mgodini, enzi za utawala wa Rais Ben Mkapa. Lissu aliingilia kati kumtetea hadi hukumu ikafutwa, mzee akarejea uraiani. Leo wamekutana tena Nyamongo.
Pamoja na kufanya kazi yake ya uwakili, hakumdai huyu mzee pesa yeyote. Hilo la kumtukana baba wa Taifa kama ni kweli lisiwaumize watoto wake waliomkaribisha also a na kaburi la baba yao likuumize wewe!Alikuwa anafanya kazi yake ya uwakili- hakuna jipya hapo- ILA PIA- ALIWAHI KUMTUKANA BABA WA TAIFA
Huyu ndiye Mzee Nyaswi wa Nyamongo. Alihukumiwa miaka 30 jela kwa kupinga unyonyaji na unyanyasaji wa wawekezaji mgodini, enzi za utawala wa Rais Ben Mkapa. Lissu aliingilia kati kumtetea hadi hukumu ikafutwa, mzee akarejea uraiani. Leo wamekutana tena Nyamongo.
Sasa huyo Mkurya ndoa aliezaa na nani yako mpaka umfanye iwe issue ya uchaguzi? Huyo siyo baba yao ni baba wa taifa hata hilo kaburi lilijengwa na taifa- after all Lissu hakulala kwa Mwalimu bali alilala mwitongo Guest House- hapo alienda tu kama sisi tunavyo fanya siku zotePamoja na kufanya kazi yake ya uwakili, hakumdai huyu mzee pesa yeyote. Hilo la kumtukana baba wa Taifa kama ni kweli lisiwaumize watoto wake waliomkaribisha also a na kaburi la baba yao likuumize wewe!