hawatapata hata sent mkuu, sisi wana CCM tumefurahi sana kwa kweli . maana walikuwa wanakwamisha sana MAENDELEO. Tuwaache wapinzani wajifie kwa NJAA sisi ni muda wetu sasa kuwaletea wananchi maendeleo. Tumechelewa sana miaka 50 ya Uhuru wapinzani wametukwamisha sana sasa hivi tungekuwa mbali sana kimaendeleo zaidi ya CaliforniaChadema wamekiua chama wao wenyewe sasa ruzuku sijui itakuwa shs ngapi?
MsemajiUkweli naona Kama unawaongezea dozi ikiwa hata kupona badoCHADEMA ambayo ilikuwa inanufaika na ruzuku ya zaidi ya shilingi milioni 328 kwa mwezi imejikuta katika hali mbaya baada ya ''Mtaalam wa sheria'' kuwaaminisha wanaCHADEMA kuwa anakwenda siyo kuifanya ipate ruzuku zaidi bali pia kuifanya iingie Ikulu..
mkuu hebu tuwaache CHADEMA wajifie bwana. Sisi wanachi tuliwakataa kwenye BOX LA KURA. Wewe unataka lissu awarudishe bungeni yeye kama nani. Achana naye huyo BEBERU.Kaka jaribu kuwaza kwa kina, utaungama na mm tu
Mwanasiasa ambae hataki chama chake kisikike lengo lake ni nn?
Me nilitegemea angeruhusu wabunge vyuma waende bungeni kule ndio sehem ya kupaza sauti
Sasa kwa kujitoa kwa kila kitu hizo siasa anaenda kufanyia ulaya?
Mtu bora kisiasa ni yule yuko Ikulu!Yupi Bora?Je,ni aliyeahidi kuwaingiza wananchi barabarani ama anayetishia,kupiga ama kuua waandamanaji?Maandamano ni jinai kwa sheria za Tanzania? Je,kosa la kuandamana hukumu/adhabu yake ni kuuawa?
CCM imepata ilichokitaka,wabunge,madiwani na Rais,tuleteeni maisha bora/maendeleo kama Ulaya/Dubai,acheni choko choko dhidi ya wapinzani (CDM/ACT/CUF).
Jibu swali! Alisema atawaingiza watz barabarani na hatakubali? Mbona yeye ndiyo amekuwa wa kwanza kukimbia kwenda ubalozi wa Ujerumani na baadaye kwao Ubelgiji??
Bora elimu ya magumashi yenye faida kuliko elimu yako ya first class ya kusujudu upuuzi wa lumumba na kulamba matter call ya "MEKO".".... mwenyekiti (mbowe ) mwenyewe ana elimu ya magumashi"- Zitto
".....Anayeamini maneno ya Mwenyekiti Mbowe 100% inabidi apelekwe Mirembe"
Dah kichwa yako imejaa kamasi tu...design kima kama wewe mnatufelisha sana....ni afadhali hata hilo mshua angepiga puli tu!Vyama vya msimu hivi ndio matatizo yake...
Kwa hiyo mlitengemea nini"Anayeamini kwamba tar 27 na 28 kulikuwa na uchaguzi inabidi apelekwe mirembe" - Mbowe
NI MPUMBAVU WA KIWANGO KILICHOTUKUKA ANAYEWEZA AMINI KUWA ANGUKO LA CHADEMA LIMESABABISHWA NA LISSU.CHADEMA ambayo ilikuwa inanufaika na ruzuku ya zaidi ya shilingi milioni 328 kwa mwezi imejikuta katika hali mbaya baada ya ''Mtaalam wa sheria'' kuwaaminisha wanaCHADEMA kuwa anakwenda siyo kuifanya ipate ruzuku zaidi bali pia kuifanya iingie Ikulu...
FoolishMackanackyyy,
Unajiona mjanja Sana au sio?
Vyama vyote vya upinzani lazima viwe na platform ya kuongea au kuonekana
Magu alisema hakuna siasa kwa miaka mitano iliyopita mlifanya nn?
Lete hoja sio mambo ya foolishFoolish
CHADEMA ambayo ilikuwa inanufaika na ruzuku ya zaidi ya shilingi milioni 328 kwa mwezi imejikuta katika hali mbaya baada ya ''Mtaalam wa sheria'' kuwaaminisha wanaCHADEMA kuwa anakwenda siyo kuifanya ipate ruzuku zaidi bali pia kuifanya iingie Ikulu...
Kama hakukuwa na uchaguzi basi ni milembe itamuhusu anayepinga hakukuwa na uchaguzi kwakuwa dunia inatambua uwepo wa waangalizi wa nje"Anayeamini kwamba tar 27 na 28 kulikuwa na uchaguzi inabidi apelekwe mirembe" - Mbowe
Point notedMimi nawashangaa sana CCM. Wapinzani mmeshawamaliza hivi mnahangaika nao wa nini tena.? Tumewaacha muongoze mpaka mtakapo choka. Lakin bado tu mnawafuatilia wapinzani mnawataka wa nini?
Kwa utawala wa jpm hata yy angefeli tuHeshma ya pekee kwa aliyekuwa katibu mkuu wangu Dr Slaa👍👏
Yeye alikua mzalendo aliyealiyejua maana halisi ya demokrasia ya vyama vingi💥