Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alikuja CHADEMA ikiwa na wabunge zaidi ya 50, anaondoka, ikiwa na Mbunge 1

Unaongea kutokana na uzoefu wako!

Wewe uliwahi kuwa mwanaCCM ukawa na huo mtindio wa ubongo by default?

Inashangaza zaidi unapoanza kuchangia hoja za mtu mwenye mtindio wa ubongo!
Mtu yeyote makini aweza kutambua kwamba kuwa ccm ni lazima uwe na mtindio wa ubongo by default, kama prof mzima anaweza maneno kama ya mtoto wa darasa la pili unadhani hapo shida ni nini kama sio mtindio wa ubongo ??!!
 
Kwa kuwa sijui umri wako nashindwa kukueleza maendeleo ya Tanzania kabla ya vyama vingi vya siasa. Itoshe kukwambia kuwa maendeleo hayo yamevurugwa na kuwepo kwa utitiri wa vyama vingi vya siasa si kwa sababu ya itakadi tofauti ila aina ya viongozi wake kuwa wapinga maendeleo.
 
Achaneni na mambo ya wapinzani. CCM tumeshafanikiwa kwa kiwango chetu bila kujali namna tulivyopata ushindi wetu. Nadhani itoshe tu kusheherekea ushindi wetu, japokuwa nchi haina furaha, mioyo ya watu inasononeka.

Kwa hiyo tusijitafutie uhalali wa kilichofanyika kwa kuwatukana na kuwakejeli wapinzani,tujikite katika kuhamasisha maendeleo.
Tuwaache wapinzani nao waifurahie nchi yao,hii ni nchi yetu sote.
 

Alikuja mkijinasibu nyie ni mfano wa kuigwaduniani. Kaondoka:

1. ICC inawapigia hodi.
2. Mmelazimika kuwa mijizi ya wazi na kila mtu kawafahamu hulka zenu.
3. Mmejulikana ni wakandamiza haki wahalifu na madhalimu wakubwa.
4. Mmejulikana wauaji ni nyinyi.
5. Sababu ya #2 - #4 mmejijipalia kuchukiwa kuliko maelezo.
6. Kwa #5, imekuwa mioto baada ya mioto.
7. Mmejulikana chaguzi zote mnakwiba.
8. Mmeanikwa kwa kila mtu kawafahamu mumiani nyie.
8. Nk, nk.

Kuja kwake kumetufungua zaidi macho na kama mnadhani yamekwisha, "you shall be in for a big surprise."
 
Unaongea kutokana na uzoefu wako!

Wewe uliwahi kuwa mwanaCCM ukawa na huo mtindio wa ubongo by default?

Inashangaza zaidi unapoanza kuchangia hoja za mtu mwenye mtindio wa ubongo!
Unaonekana una matatizo ya akili, so unaamini ule ulikuwa uchaguzi?
 

Kuna nafasi ya vyama vya siasa ya upinzani kwenye maendeleo ya nchi.Kubeza kama ishara ya kukebehi haiondoi hatari iliyopo mbele kwa mchango wa vyama vya upinzani.Kilichotokea mwaka huu kila mtu anakijua.Ni wakati sasa vyama vya upinzani kujipanga kweli kweli ili kuwa imara zaidi.Ni kipindi cha mpito kinachohitaji viongozi imara kuweza kusimama imara.
 
Mnatengeneza video za uongo ili kudanganya watu kulikuwa na wizi wa kura!

Video zimeletwa ili ambao hawajaona waone, ila ni mambo yamefanyika mbele ya macho yetu. Achia mbali hujuma za wazi za kuengea wagombea wa upinzani kwa maagizo ya jiwe. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
"Anayeamini kwamba tar 27 na 28 kulikuwa na uchaguzi inabidi apelekwe mirembe" - Mbowe
Mpelekeni mbwatukaji wenu na poyoyo wake Salum Mwalimu mirembe kwanza. Kisha afuate DJ.
Halafu afate shehe Ponda aliyewaambia Lissu keshashinda anasubiri kuapishwa na waislam wote wamekubaliana kumpigia kura zote tundu Lissu.
 
Kujipendekeza ni gharama kubwa sana.

Ni heri dagaa ukiwa free man kuliko kuku ukiwa kibaraka.
 
Mtapata shida sana, yaani mlikuwa mnalipwa kwa kufagia sasa mwenye nyumba kaweka Pavement kazi imeisha
 
Mleta mada ungekuwa na akili timamu ningekushauri kitu. Ila elewa kuwa;
Uchaguzi ungekuwa huru kwa kuheshimu kura za wapiga kura CDM ingekuwa na wabunge zaidi ya 60.
Kura za Lissu 'zingepindua meza', amini maneno yangu.
 
Mimi nawashangaa sana CCM. Wapinzani mmeshawamaliza hivi mnahangaika nao wa nini tena.? Tumewaacha muongoze mpaka mtakapo choka. Lakin bado tu mnawafuatilia wapinzani mnawataka wa nn ?
Njaa hawakujua wanalipwa kwa ajili ya wapinzani
 
Wapinzani mnashangaza sana, mlisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kisa mnataka tume huru ya uchaguzi, ilikuaje mshiriki uchaguzi mkuu wakati tume bado ni ile ile? Nadhani mliingia kwenye uchaguzi mkijua tume ni ile ile na mkijua kuwa mtaibiwa kidogo, je kuibiwa kidogo ni sawa? Sasa mmeibiwa pakubwa mnalalamika, je hamkujua kuwa mtaibiwa pa kubwa au pa Dogo? Kwa kushiriki tu uchaguzi huo mmehalalisha kuibiwa sasa nashangaa mnalalamika nini?
Kwa sababu ya uharibifu mkubwa ajabu wa uchaguzi uliofanywa na dola kwa niaba ya CCM!.

Uchaguzi uliopita ni Uhaini dhidi ya Jamhuri ya Muungano na Watu wake!
 

Cdm itakufa kwa hizi chaguzi za kihayawani. Ni kweli inaweza isipate mbunge ama diwani kwa maagizo ya dola, ila sio kwa kura za wananchi.
 
Cdm itakufa kwa hizi chaguzi za kihayawani. Ni kweli inaweza isipate mbunge ama diwani kwa maagizo ya dola, ila sio kwa kura za wananchi.
Kwanini mlishiriki uchaguzi wakati mnajua Tume ni ile ile ya Uchaguzi mlioisusia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa? Hamkujua kuwa mtaibiwa au kuonewa?
 
Kuna usemi unasema 'Mwosha naye huoshwa!'.....Nina amini kabisa kuwa ipo siku CCM pia itafutwa na kufutika ghafla hivihivi, tena itakuwa ni zaidi ya ilivyofanya kwa vyama vya upinzani!
 
Wakimbizi wanaokimbia marejesho ya mikopo ya mabenki na wafanya biashara ndo unaowazungumzia mkuu
 
Mleta mada ungekuwa na akili timamu ningekushauri kitu. Ila elewa kuwa;
Uchaguzi ungekuwa huru kwa kuheshimu kura za wapiga kura CDM ingekuwa na wabunge zaidi ya 60.
Kura za Lissu 'zingepindua meza', amini maneno yangu.
Na Yale maonyo ya Kusema, OLE wake aibiwe Kura ilikuwa ni mkwara siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…