Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Atarudi kwenye jenezaNenda nyamongo mara waambie haya maneno alafu uje usimulie apa ulichokutana nacho..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atarudi kwenye jenezaNenda nyamongo mara waambie haya maneno alafu uje usimulie apa ulichokutana nacho..
Huwezi kuumia bureUkweli Mchungu n kwamba huyu jamaa n mwananadharia tu hana chochote huyu.
Sisi huku Singida tunajua.
Nadhani ungemjibu tu mkuu, angalia umri wake ni mdogo uelewa huenda pia mdogo.Uzwazwa ulionao ndio utakaufanya utakanwe mpaka uwakumbuke wazee wako kijijini, yaani mpaka leo hujajua umuhimu wa lissu? Kwanini hujiulizi kwanini walitaka kumuua mchana kweupe!?
Uzwazwa ulionao ndio utakaufanya utakanwe mpaka uwakumbuke wazee wako kijijini, yaani mpaka leo hujajua umuhimu wa lissu? Kwanini hujiulizi kwanini walitaka kumuua mchana kweupe!?
Ndugu wana bodi! Habari zenu!
Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.
Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.
Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais
John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.
Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.
Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Kuna sifa moja kuu inayompaisha huyu jamaa hata kuingia kwenye mioyo ya watu na kufuta hayo yote, anao uthubutu wa kufa akitetea na kupingana na kila dhulma manyanyaso, sheria kandamizi na hila za watawala ndio maana watu watakuona kama mavi unapotoa kila unalodhani lina mashiko na ni hoja kwako.Mambo mengi sana Tundu amelisidia taifa
1. Aliyoa information kwa mkulima akakamate ndege yetu
2. Alimzuia JPM kuwa asizuie makinikia bandalini kwamba kama nchi tutashitakiwa na kufilisiwa.
3. Alimkataza JPM asiipitiie upya mikataba ya madini kwamba mikataba ikashafungwa haitenguliwi. Vinginevyo tutashitakiwa na kufilisiwa.
4. Amezunguka nchi mbalimbali wa ulaya na amelika uuzuia nchi yetu isipewe misaada.
5. Kuketa sera ya ushoga nchini.
Au hukumbuki mkuu
Na sijui kama atafika huku kutupa mrjesho zaidi ya tangazo la msiba tbc fmNenda nyamongo mara waambie haya maneno alafu uje usimulie apa ulichokutana nacho..
CCM mkienda kuomba omba misaada kwa wazungu huwa munawaita wahisani wafadhili lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga wenu hukimbilia kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani CCM ni mbuzi jikeAlikuwa msariti wa nchi kwa bwana zake mabeberu
Nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama walivyokuwa wanaccm ambao hukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCM
Kwa taaluma yake ya sheria aliwahi kutetea nini katika kesi amabayo ilipatia taifa ushindi?
Taja hata moja?
Zaidi ya kuwatetea mabeberu waendelee kutunyonya.
Kuiba trilion 1.5 kumtoa CAG kafara kuficha Aibu ndiyo unafikiri ni tiketi ya kumrejesha ikulu mtukufu? Kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge katoa pesa zake binafsi toka mfukoni?Subiri ma.ta.a.h.i.r.a ya machadema yaje na mitusi yao! utasikia eti oooh! alipigwa risasi!! so what? hata kama alipigwa kwa kuiba mke wa mtu basi ndio ahurumiwe awe tena rais!!!!? Hell no!!!!
Hana uchungu kwani ndani ya miaka 5 amekuwa tajiri kuliko kikwete na mkapaKwako Magufuli ndo ana uchungu na nchi?
Watanzania wameamka wanataka maneno yenye vitamini kuwapanua Ubongo kuwainua kifikira haki za binadamu utawala wa haki na Sheria, siyo kuwakaririsha eti CCM imejenga Reli kwa gharama kubwa kukiwa na ufisadi wa kutisha kwenye miradi yote, hakuna miradi ya CCM isiyo na kasoro kila sehemu kuna wizi na kampuni zinazosaidia ujenzi ni kampuni zao za rafiki zao ndugu zao, CCM ni ile ile ukoo wa panyaUwepo peke yake wa Tundu Lissu ni msaada tosha kwa Tanzania.