Ikiwa hivyo kutakuwa na uwafadhali, tunaweza tukapata wawakilishi watakaoitendea vema hizo nafasi. Sio hao covid-19 wanao ogopa kuwakasirisha ccm na chadema. Wapo kimyaaa wanavuta mpungaInasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Mengine yatawajia.
Hii ni pati gazeti.
Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
Unamanisha Huko Brussels Mama kamtafuta Mwamba??Inasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Mengine yatawajia.
Hii ni pati gazeti.
Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
AhaaaaInasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Mengine yatawajia.
Hii ni pati gazeti.
Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
Teteteee!Kwahiyo wakipeleka orodha mpya yale malalamiko yao kuhusu uchaguzi yatakuwa yametatuliwa?
Na huyo mr belgiji nae kumbe kukaa kote kwa amsterdam kazi ilikuwa kupambana na kina Mdee?
ChainiziUliacha kula majani Sasa unakula Nini?
Ndugu yangu,Tunataka kuona mabadiliko kuelekea kwenye uchaguzi wa 2025 kwa hii tume ya ccm kuondoka na kuwekwa tume huru itakayoridhiwa na wadau wote bila ya hilo kutokea basi Chadema wajitoe kwenye uchaguzi ili ccm washiriki na vyama vyao pandikizi.
Pia sheria zile za kipumbavu za kuwaengua wagombea wa vyama vya upinzani zifutwe mara moja.
Tume huru ya uchaguzi iajiri watendaji wake baada ya "intensive and extensive vetting" na kwa ajira ya mkataba na wasiwe kabisa watumishi wa serikali.
Watu wa Tiss wadhibitiwe wasiisogelee hiyo tume maanake wenyewe ni taasisi inayotumiwa na ccm kuendelea kung'ang'ania madarakani.
Yuko ofisini kwa Jaji wanapata lunch.Hao EU si ndio walisema kwenye Bunge Lao mbowe atoke. ? Huyo mbowe Yuko wapi now?
Hahahaaaa...... Wewe ulikuwa Tukuyu enzi hizo!Tatizo limeanzia hapa👆
Ila isiwe chainizi ya Amerika kaskazini (Colombia) tu🤔.Chainizi
Kazi kubwa gani John the Baptist,ya kuhamasisha ushoga!!!Acheni kusifia uovu jamani.And then,Ulaya kunakuhusu nini wewe,nilidhani kafanya kazi kubwa Tanzania,au angalau Africa,Ulaya!!!!!!!Inasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Mengine yatawajia.
Hii ni pati gazeti.
Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
Acha zarau MathantulaKazi kubwa gani John the Baptist,ya kuhamasisha ushoga!!!Acheni kusifia uovu jamani.And then,Ulaya kunakuhusu nini wewe,nilidhani kafanya kazi kubwa Tanzania,au angalau Africa,Ulaya!!!!!!!
Bwashee usipende kuutaja ushoga.Kazi kubwa gani John the Baptist,ya kuhamasisha ushoga!!!Acheni kusifia uovu jamani.And then,Ulaya kunakuhusu nini wewe,nilidhani kafanya kazi kubwa Tanzania,au angalau Africa,Ulaya!!!!!!!
Wewe hujui kama ni muda wake wa kurejesha kwenye jamii🤔.P Mayalla unawekaje " Like hapo"
siku hizi unaweka like ovyo ovyo
Una uhakika ?
Sasa SI ndio umeona au, unaota🤔Yuko ofisini kwa Jaji wanapata lunch.
Uliwahi kuona Jaji anamualika mahabusu ofisini?
Hujui wanywa pombe ndio wachangiaji wakubwa wa kodi inayokusanywa na GoT!!!???Hii Tabia ya mtu kuamka na kukimbilia vyupa vya pombe ni tatizo
Mkuu kapate hata supu uondoe utando katika ubongo wakoInasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Mengine yatawajia.
Hii ni pati gazeti.
Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
Nimekuelewa vizuri kinyonga johnthebaptist .Utaelewa baadae.
Tatizo mmejikita kwenye siasa za matopeni mnasahau kuwa Wanaoendesha dunia wako huko aliko Tundu Lisu.
Kama unabisha waulize DRC.
nyambafu we unajua kitu ilikuwa inaitwa Langata social, hall, YMCA, Mbowe Club, Pool side au ndo umekuta Club billicanas..... watu tupo kitambo usione tupo na Mbowe tunajua struggle zake since then!!!!!Hahahaaaa...... Wewe ulikuwa Tukuyu enzi hizo!
Ni Mrangi tu hapo Ufipa anayeelewa.
Hawaelewi.Tatizo limeanzia hapa[emoji115]