Tundu Lissu amegundua nguvu ya Hayati Magufuli

Lisu mbona alidanganya tutashtakiwa Miga, mbona alidanganya flani ni fisadi na akasema ccm imempa fisadi form ya kugombea uraisi baadae wakampokea mtu waliyedai fisadi kumpa form kugombea urais bila hata mchujo ndani ya chama
 
Lisu mbona alidanganya tutashtakiwa Miga, mbona alidanganya flani ni fisadi na akasema ccm imempa fisadi form ya kugombea uraisi baadae wakampokea mtu waliyedai fisadi kumpa form kugombea urais bila hata mchujo ndani ya chama
Lowassa ni Fisadi ndio na kwangu atabaki kuwa fisadi haibadilishi ukweli.

Pia mnaweza kutuambia ni kina nani walimpiga Lissu risasi na kwa sababu zipi?
 
Mku Biblia inasema mtu akisha kufa, hajui kitu chochote kinachoendelea hapa duniani mpaka hapo Yesu atakaporudi na kumfufua.
Soma kitabu cha Mhubiri 9:5-6

na yesu akifa atafufuliwa na nani?
 
Kumbe SKG ni real eti eh!
 
Magu is dead and gone! Umsifie, umtukane haisaidii kitu. Wacha watu wamwage nyongo zao
 
Kawaida TAL hajadili watu wala wafu. Yeye hujadili issues.
Una uhakika na ulichokisema?

Kawaida? Hajadili

Isiyo ya kawaida ni pale anapowataja walio wafu? bila kuwajadili?

Nimejichanganya.
 
Matrix, naomba unielimishe.... na

"Kile kitambulisho" ??


Kwa sababu kuna 'kile' ambacho sikioni hapa, sijui ni kashfa au ni shutuma au kitambulisho?
 
Hivi JF MODS mna matatizo gani ? Ndani ya huu uzi kuna wachangiaji wanatukanana matusi mnawaacha tuu ???? Guys ban them immediately and permanently !!!
 
Matrix, naomba unielimishe.... na

"Kile kitambulisho" ??


Kwa sababu kuna 'kile' ambacho sikioni hapa, sijui ni kashfa au ni shutuma au kitambulisho?
Kilibandikwa jina la kitambulisho cha machinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…