Mimi kama wengine, na kama mgombea pinzani anavyopotosha, mwanzoni nilidhani sera ya majimbo ni ya kufanya maeneo ya watu yajitegemee kikanda au kikabila.
Kumbe maana yake ni kuwa (1) Rais asihodhi maamuzi yanayohusu maendeleo. (2) Viongozi wote wenye maamuzi muhimu kuhusu maendeleo ya mkoa na wilaya wasiteuliwe na Rais, bali wachaguliwe na wananchi wa mikoa, wilaya na halmashauri hizo ili wawajibike kwao. (3) Wabunge warudishiwe madaraka yao ya uwakilishi wa matakwa ya wananchi. Wasiburuzwe na Rais.
Hii ndiyo jinsi ya kumzuia Rais mbaguzi asiyependa kupeleka maendeleo kwenye majimbo ya upinzani ambako nao wanalipa kodi. Tundu Lissu elezea hili kwa dakika mbili kila unakokwenda kama ulivyofanya Kagera.
Kumbe maana yake ni kuwa (1) Rais asihodhi maamuzi yanayohusu maendeleo. (2) Viongozi wote wenye maamuzi muhimu kuhusu maendeleo ya mkoa na wilaya wasiteuliwe na Rais, bali wachaguliwe na wananchi wa mikoa, wilaya na halmashauri hizo ili wawajibike kwao. (3) Wabunge warudishiwe madaraka yao ya uwakilishi wa matakwa ya wananchi. Wasiburuzwe na Rais.
Hii ndiyo jinsi ya kumzuia Rais mbaguzi asiyependa kupeleka maendeleo kwenye majimbo ya upinzani ambako nao wanalipa kodi. Tundu Lissu elezea hili kwa dakika mbili kila unakokwenda kama ulivyofanya Kagera.