Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Magufuli akiahidi, anatekeleza, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, dosari ndogo ndogo, haziepukikiKauli ya mdomoni si utekelezaji. Unaweza kutamka neno lakini lisifanyiwe kazi. Tayari figusu imeshaanza kuwaapisha wakala je huo ndo uchaguzi huru na haki?
Kutowaapisha mawakala si tatizo dogo kama unavyofikiria hii itafanya baadhi ya vituo vya kupigia na kuhesabia kura kukosa wakilishi wa kudhibiti kura. Chochote kinaweza kutokea kwa hujuma za kura.Magufuli akiahidi, anatekeleza, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, dosari ndogo ndogo, haziepukiki
P
Hakuna haja ya kudhibiti kura, unadhibiti nini?, kazi ya mawakala, ni kuhakiki kura na sio kuthibiti!. Be positive, uchaguzi huu utakuwa huru na wa haki.Kutowaapisha mawakala si tatizo dogo kama unavyofikiria hii itafanya baadhi ya vituo vya kupigia na kuhesabia kura kukosa wakilishi wa kudhibiti kura. Chochote kinaweza kutokea kwa hujuma za kura.
Magufuli akiahidi, anatekeleza, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, dosari ndogo ndogo, haziepukiki
P
Kama hakuna mawakala wa kuhakiki katika kituo huoni ndo mwanzo wa hujuma za kura?Hakuna haja ya kudhibiti kura, unadhibiti nini?, kazi ya mawakala, ni kuhakiki kura na sio kuthibiti!. Be positive, uchaguzi huu utakuwa huru na wa haki.
P
Uko sawa The Hague is for crime against humanity yaani uhalifu wa kivita.Mambo ya uchaguzi ni internal affairs hawana haki ya kuingiliaMkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!..