Tundu Lissu amekuwa Champion wa Tume za Uchunguzi kuhusu Muundo wa Muungano za Rais Mwinyi, Mkapa na Kikwete

Tundu Lissu amekuwa Champion wa Tume za Uchunguzi kuhusu Muundo wa Muungano za Rais Mwinyi, Mkapa na Kikwete

Hilo ndio swali la msingi la kujengea hoja na kuwashinikiza serikali kuchukua hatua stahiki.
nje ya hayo kuna miradi inayochelewa au kutokuanza kabisa.
BIMA za afya kwa kila mwananchi.
Hivyo ndio vitu vya kuongelea sio kusambaza chuki na udini
Usizibe watu midomo kama kuna vitu vinavyoashiria udini kwenye nchi yetu iwapo vitakuwa vinaonekana kwa macho.Sera ya Waislam ni kutaka kuona tunapoteza utamaduni wetu kama Zanzibar walivyofanya ili sisi sote tuwe kama Ehiopia,Somalia,Sudan,Misri,Mali,Chad,Algeria,Moroco,Libya,Tunisia na Afrika ya Kati.Sisi Watanganyika tulio wengi tunathamini asili yetu kuliko kuthamini asili ya Mwarabu,Mchina au Mhindi.
 
Usizibe watu midomo kama kuna vitu vinavyoashiria udini kwenye nchi yetu iwapo vitakuwa vinaonekana kwa macho.Sera ya Waislam ni kutaka kuona tunapoteza utamaduni wetu kama Zanzibar walivyofanya ili sisi sote tuwe kama Ehiopia,Somalia,Sudan,Misri,Mali,Chad,Algeria,Moroco,Libya,Tunisia na Afrika ya Kati.Sisi Watanganyika tulio wengi tunathamini asili yetu kuliko kuthamini asili ya Mwarabu,Mchina au Mhindi.
Dini ni kitu cha mtu binafsi (personal)
SERIKALI haina dini na ndio maana unaona anaweza kuongoza muislam au mkristo
 
Dini ni kitu cha mtu binafsi (personal)
SERIKALI haina dini na ndio maana unaona anaweza kuongoza muislam au mkristo
We jamaa roho ya udini za wakoloni inakutafuna....huwezi kutoa mawazo bila kuhusisha hisia za kidini.

Umekuwa Mtumwa bro shtuka.
 
Back
Top Bottom