Tundu Lissu ameongea na waandishi wa habari, afafanua vitisho vya Amsterdam kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi na suala la kuunga mkono Ushoga

Msiache kukubali ofa ya ajira kwa Lisu ambayo Magufuli alitoa,

Kwamba Magufuli akipata awamu nyingine basi lisu atapata kanafasi ka kumfaa kwani Urais hatoshi.
Akipata awamu nyingine...si lazima 😁 😁
 
Mbona Tangazo limeandikwa 0500 asubuhi, wewe umeliweka 1203,

Hauoni kama habari kama hizi zisizo na userious zinakirudisha nyuma chama hasa wakati huu mgumu ??!.

Note: Sijakulaumu wewe, bali naona kuna tatizo kwa baadhi ya watendaji wa chama.
 
Mbona Tangazo limeandikwa 0500 asubuhi, wewe umeliweka 1203,

Hauoni kama habari kama hizi zisizo na userious zinakirudisha nyuma chama hasa wakati huu mgumu ??!.

Note: Sijakulaumu wewe, bali naona kuna tatizo kwa baadhi ya watendaji wa chama.
Wameishiwa pumzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…