Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Naona povu teeleeeeee
 
Hakika tunajifunza mengi kwa Mh Tundu Lissu. Ana uelewa mpana sana mambo mengi, anajiamini, anasimamia haki. Hakika Rais tumepata. Imebaki kuapishwa tu. Huyu ndio atuongoze na kutuwakilisha kama nchi.
 
Nakumbuka ule utafiti Mkuu kwamba MAZWAZWA ndiyo wanaoipenda ccm siku hizi wako mpaka maprof eti wanadai waliokotwa jalalani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeonaeeeeee? Hiyo ilisababisha Byagunze akaulizwa uraia wake.
 

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mmawia, siyo povu tele, huo ndio ukweli na naomba mmwambie Lissu na wenzake pamoja na Amsterdam kuwa "TANZANIANS LIVES MATTER!
Pole sana, ila ukweli utabakia ukweli tu kuwa mh Lissu ndiye chaguo la watanzania.
 
mnajitahidi kumsifia kila sku umu alafu jamaa bado anaongea pumba daaah kazi mnayo
 
mnajitahidi kumsifia kila sku umu alafu jamaa bado anaongea pumba daaah kazi mnayo
Anaye ongea pumba mnamfahamu sana tu wacheni kurusha jiwe kichakani ili muone atatoka mnyama gani
 
Ujinga mtupu,ķbaraka wa mabeberu huyu hatuwezi kukubali atusaliti kijibga jinga wakati watu wanapambana kupaisha uchumi wa nchi
Ukibaraka wake uko wapi? Mnaimba kama kasuku tu! Jiwe na sisiem mlisaini mikataba mibovu ya madini (jiwe alikua Mbunge na Waziri) hao ndio wasaliti, badala yake nyie wapuuzi mnamwita lissu ambaye toka enzi za tisini wakati huyu mshsmba wenu anavaa oversize suits alikua anapambana pekee na nyinyi na mabeberu msipore rasilimali zetu na utawala Wa mkapa ukamweka jela, Leo hii mnakuja na propaganda za kijinga mkifikiri tumesau jinsi wabunge Wa upinzani mlivyokua mnawazomea wakipinga usaliti wenu halafu eti Leo mnasimama hadharani bila aibu na kujifanya wazalendo, hebu semeni Leo, waliosaini mikataba hiyo usiku hotelini wamechukuliwa hatua gani? Baraza la mawaziri lililo afiki na marais waliopitisha wamechukuliwa hatua gani? Leo mvuta bangi mmoja anaependa umaarufu anawatisha mnamuimbia mapambio, mtasema uongo mwisho wenyewe mtasema ukweli maana ukweli huwa haubadiliki
 
Kwel get la milembe liko waz nimeamin
 
Ujinga mtupu,ķbaraka wa mabeberu huyu hatuwezi kukubali atusaliti kijibga jinga wakati watu wanapambana kupaisha uchumi wa nchi
Vibaraka ni wanaoendekeza wasiojulikana na wasiopenda haki.
 
Ili tuendelee tunahitaji wanaokwenda kinyume nasi. Yaani wapinzani ni watu muhimu. Tundu Lissu sina ugomvi nae kama mtanzania ambaye nilimchangia akatibiwe kwa mabaya yaliyompata.

Kwa kuwa amezidi kufurahi, aendelee kufurahi kwa kuwa HATAKUWA RAISI wa TANZANIA.
Na uchaguzi huu au mwingineo ujao hatashinda. Ana kiburi, lugha chafu, majivuno, pamoja na taaluma nzuri aliyonayo haitoshi kumpa sifa za kuwa kiongozi bora. Wengi wanaomjua hawamzungumzii vizuri. Pia hafahamiki na hana mengi alifanya ya kuinua wananchi wakati wa uongozi wake
 
Kanunue darubini ya umeme hiyo ya mbao inakupoteza. Wewe cha muhimu kwako ni nguvu ya ushawishi na sio kuwainua wananchi kiuchumi. Unafaa kuwa dalali mzuri. Tabularasa wewe
 
mbona nyie mlimpa nchi zichi lakn si tumevumilia miaka 5??na sisi ni zamu yetu sasa! Ni heri uwe kibaraka kuliko ukichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…