Wamebakia na msemo wa hawezi kutangazwa ..mara anatangazwa wanabakia na hawezi kuapishwaBado hawaamini kinacho endelea, yaani mpka sasa wameshapigwa sindano ya ganzi kisiasa
Mbona hamsemi hao mnaowaita mabeberu ni nani? Hata huyo anayewaimbisha hizo ngonjera za mabeberu hajawahi kuwataja.Huyu ni kibaraka wa mabeberu, kaulize Angola , libya, Congo, etc jinsi vibaraka wenzake wa huko walivyoharibu nchi, Tundu lissu Kuna watu wa ulaya na marekani wapo nyuma yake kwa maslai yao na rasilimali zetu
Naomba kuuliza kwa upole kabisa! Nijibu kwa upole.Ninacho furahia ni kuwa umeusoma huu uzi na umeelewa kilicho andikwa
Mkuu lazima tu iwe hivyo kutoka kupanga namna yamaziko yakavyokuwa hadi mgombea urais it is Miracle. Wanaona wanashindana na mtu ambaye risasi imeshindwa kumtokemezaHuwezi kuamini mkuu wanamuogopa sana!
mabeberu ni kuwatumia postive tu ili kuleta maendeleo kama walivofanya nchi zingineHistoria itamkumbuka sana. Huyu mwamba kwa ujasiri alioonyesha naamin kabisa anaweza kupambana na mabeberu kwa vitendo sio Jiwe hata vikao vya international community anakimbia kisa tu hajiamini na hawezi kujieleza, wote tumemshuhudia miaka hii mitano akikimbia vikao vya kimataifa, matokeo yake nchi yetu imepoteza nguvu na ushawishi iliyokua nayo
Tundu Lissu ni mtu sahihi wa kuirudisha Tanzania kama nchi kiongozi.
Hapana! Kama hawezi kueleza maana ya density, enzi hizi za sayansi na teknolojia basi hatuhitaji mtu wa aina hiyo.Rais bora utoka fani ya sheria,uchumi,biashara au diplomasia
kwa kupigwa kwake nasi tunaponaTL ni Sauti ya Umma.
ukimjeruhi mbogo ni lazima uwe mpoleWanamgwaaya, wana muogopa na wana muona kama muujiza unao tembea na kuishi.
Fc mp mk.Ujinga mtupu,ķbaraka wa mabeberu huyu hatuwezi kukubali atusaliti kijibga jinga wakati watu wanapambana kupaisha uchumi wa nchi
utakula densityHapana! Kama hawezi kueleza maana ya density, enzi hizi za sayansi na teknolojia basi hatuhitaji mtu wa aina hiyo.
Mp mk fcTundu Lisu na viongozi wa Chadema wanajua kabisa uchaguzi huu wanakwenda kushindwa kwa aibu kubwa na ndiomaana viongozi wengi wa juu wa Chadema Dalili zote zinaonyesha wamesha kata tamaa.
Kweli ni mwanga sana 'tukutane Dom OctoberNi mwanga kwa walio gizani, ni macho kwa wasiyo ona, ni sauti kwa wasiyo na sauti, ni tumaini kwa walio katishwa tamaa.
Ni muujiza unao tembea na hilo ndiyo linalo waumiza sana watesi wake.Mkuu lazima tu iwe hivyo kutoka kupanga namna yamaziko yakavyokuwa hadi mgombea urais it is Miracle. Wanaona wanashindana na mtu ambaye risasi imeshindwa kumtokemeza
baada ya Mtikila Mungu katuletea Lisu hawa ndio kiboko ya wahuniHakika mkuu