Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga mtupu,ķbaraka wa mabeberu huyu hatuwezi kukubali atusaliti kijibga jinga wakati watu wanapambana kupaisha uchumi wa nchi
jiwe limepata dawaTangu amerudi Tanzania, jamaa wamepigwa na bumbuwazi
Nawe nijibu,, hivi ni kwanini mnamuogopa sana mh Lissu amabaye ni mteule wa Mungu ili awe rais wetu sisi watanzania?Naomba kuuliza kwa upole kabisa! Nijibu kwa upole.
Kwa nini kila anachosema Lissu munakiona ni kipya? Ni kweli kwamba uelewa wenu ni mdogo kiasi hicho?
Hilo halina haja ya kukumbushana, hapa ni namna ya kujiandaa jinsi ya tutakavyo apishwa tu wana cdm
Ukishaambukizwa ushoga anytime tuzi umeiweka poni,kwa tume ipi?
Sielewi mnaongea ninyi bavichaa?Watawala waovu walikuwa wameshawaaminisha watanzania kuwa tanzania ni mali ya watawala, na kwamba watawaliwa hawaruhusiwi kuhoji, wala kusema chochote zaidi ya kufuata kile kitakachoamuliwa na watawala, kuhoji ikawa kosa la jinai na kila mtu akaogopa kumuongea bwana yule akihofia usalama wake!
Ilikuwa ukitamka jina la bwana yule katika public basi ni katika kusifu na kumuabudu.
Ikafika mbali hata baadhi ya wajinga na wapumbavu wakamuita "mungu" na "yesu" mbaya zaidi eti wakadai ipo siku "MUNGU" atashuka kuja kumuomba msaada mtu yule, hii kufuru kabisa kuwahi kutokea, shame upon the dictator and his failed system!
Viva Mtanzania lissu, umewaondolea madikteta ule utukufu waliodhani wanao, walijifanya miungumtu, aibu yao sasa vile tunawadharau, sio kitu wao!
Kwa nguvu moja tutashinda, kinachohitajika kwa sasa ni wana upinzani kuwa kitu kimoja ili kumtoa nyoka wa kijaniserikali ya watu kwa ajili ya watu na serikali ya watu kwa ajili ya mtu.Nafasi pekee watz tuiyonayo ni sasa tukizubaa tu tumeliwa,hawa wakurugenzi wanaotumika hovyo kuwanyima watu haki ya kuchagua sababu ya njaa zao ni kunyooka nao mbele kwa mbele
Hongera! Akiwa rais utafaidika kidogo au ?Basi jiandaeni kisaikolojia maana mh Lissu ndiye atakuwa rais wetu
Lissu hawezi kutawala. Lissu anaweza kuongoza.Hizo ni ndoto chafu ,Mr.lisu hafai kuwa kiongozi katika level ya urais,anaweza kuibua mambo ila sio kutawala nchi
Ukikutana na mtu kichaa, au hata mbwa kichaa huogopi?Nawe nijibu,, hivi ni kwanini mnamuogopa sana mh Lissu amabaye ni mteule wa Mungu ili awe rais wetu sisi watanzania?
🤟🤟Huyu ni mteule wa Mungu.