Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Ni sahihi kabisa
 
Ukibaraka ulianza baada ya kumpiga risasi huyu mpinga udikteta uchwara 😂😂😂
 
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Waliokujaza
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Waliokujaza huko KUTOKUJIAMINI ni hao mabeberu na wakoloni mamboleo kwa nia na lengo la kukufifisha kiakili, kimawazo na kiutendaji ili ubakie TEGEMEZI KWAO kama walivyomfanyia Lissu kwa muda wa miezi 36 aliyokuwa huko Ulaya akiwategemea kwa kila kitu ikiwa ni pamoja na matibabu. Anachofanya Tundu Lissu ni kuwakilisha waliyomtuma kwa nia na lendgo la kuichafua nchi hii. Kwa kiasi kidogo tumeanza kuona sumu yake ikiwaingia wajinga wachache kama ilivyotokea huko Tunduma. Hii ni sumu ambayo isipokemewa na kutafutiwa dawa na dola, itachafua uchaguzi na kumpa BICHWA Lissu na hao wajinga wachache na WASIOJIELEWA. Kama MZALENDO, napenda kuchua fursa hii kumwambia Lissu kuwa "TANZANIANS LIVES MATTER (TLM)". Kama naruhusiwa kuiga kilio cha Wamarekani wachukiao ubaguzi kwa kauli mbiu yao ya "BLACK LIVES MATTER (BLM)".

To people like Lissu and his friends including Amsterdam, our lives, the lives of Tanzanians, the blood of innocent Tanzanians DOES NOT MATTER TO. What matters to Lissu is the "presidency" and what matters to his friends are ways and means of stealing and plundering the riches of our rich Tanzania for their benefit and as such leaving us poor and dependent on them.

This will not happen in this era of awakening as done by our President who has categorically told us that our country, Tanzania, IS RICH and that we are not supposed to be POOR. Let me conclude by saying it again for Lissu and his friends that "TANZANIANS LIVES MATTER (TLM)".
 
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Lissu "mfufuka"
 
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
AMEN
 
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Atatupa Ilani yao tuitumie kuongoza nchi
 
Ni kipenzi cha Watanzania wanaojitambua.

Ni mwanga kwa walio gizani, ni macho kwa wasiyo ona, ni sauti kwa wasiyo na sauti, ni tumaini kwa walio katishwa tamaa.
 
Back
Top Bottom