Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Yaani kumbe unaweza ukamwekea Pingamizi Rais na Tume ikashinda na makaratasi yake tangu asubuhi hadi jioni usiku. Huku wanazunguka zunguka tu wasijuime cha kufanya.

Kumbr inawezekana aisee

😅😅😅😅😅anakotipeleka Lissu ni kwenye ukombozi kweli kweli.
 
Nakumbuka ule utafiti Mkuu kwamba MAZWAZWA ndiyo wanaoipenda ccm siku hizi wako mpaka maprof eti wanadai waliokotwa jalalani 😂😂😂😂
Kumbe kusoma sio Kuelimika !
CCM wamefikia kumuita jiwe yesu wao dah kuwa Uyaone kweli kwa hakika nime yaona
 
Yaani kumbe unaweza ukamwekea Pingamizi Rais na Tume ikashinda na makaratasi yake tangu asubuhi hadi jioni usiku. Huku wanazunguka zunguka tu wasijuime cha kufanya.

Kumbr inawezekana aisee

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]anakotipeleka Lissu ni kwenye ukombozi kweli kweli.
Umeonaeeee? Tuliamini kabisa kuwa rais hawezi kuwekewa pingamizi kabisa!
 
Hahaha baada ya kushindwa atampanda mbowe kichwani kutaka umwenyekiti, stay tuned mgogoro unakuja November
Gambo hakukosea kabisa alipo sema kuwa uvccm wengine wenu ni wanafiki sana na mkizeeka lazima mtakuwa ni wachawi na vigagula
 
Utagundua siku akifa nitakavyotambulishwa ,akilinzaki kama za lisu tu mwenye sura kama anachungulia tair la gar lenye pancha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi wewe mke
 
Huyo anamaanisha nguvu ya umma ni ushindi
1598547221274.png
 
Back
Top Bottom