Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Msanii tu huyo ameamua kula hela za kina mangi, kwanza anakesi mahakamani ya kukiuka dhamana kwa ilo anakosa sifa ya ugombea.
Sorry nipo nje ya mada, hiyo picha kwa Avatar ni yako?
 
Chama cha wanaywa mbege wa machame
Acha ukabila, ingekuwa vema kama ungehamia Rwanda Burundi au Kenya! Huko ni saizi yako na siyo Tz nchi ambayo haina ukabila(no tribalism, no nepotism)!
 
Hata history ya Iraq imekushinda kugoogle tu, maana uanvyotaka kuandika ni tofauti na unachoandika unazungumzia watu wawili tofauti kwa ishu moja
 
Ulemavu ni dk1 ndugu yangu. Na hao unaoona wamenyooka wamelemaa ngozi, wengine mitutu, wengine akili, wengine macho. Ukilemaa miguu utabeba gongo, ukilemaa macho utavaa miwani. Hata wewe hapo wawezapatwa na stroke kabla hujamaliza kusoma hapa!
Ndio hivyo lishakuwaga lowasa alikuwa mgonjwa na lisu mgonjwa huko hakuna wazima
 
Hata history ya Iraq imekushinda kugoogle tu, maana uanvyotaka kuandika ni tofauti na unachoandika unazungumzia watu wawili tofauti kwa ishu moja
Haya hebu tufundishe Msomi!
 
So nyie wanawake lisu mmempendea nini
Usilolijua nikama usiku wa kiza. Na wewe huyo unayemtaka wewe unampedea Nini. Bora sisi wanawake tunampenda mwanaume. Sasa wewe mwanaume unampendea Nini mwanaume mwenzio!
 
Akitiwa hatiani na kesi hata moja anakosa sifa kwikwikwikwi
Wataweka mizengwe mingi kweli, na hata kuitaka mahakama isikilize kesi zote zilizoko mahakamani zinazomhusu Lissu, ili tu wapate nafasi ya kumwondoa kwenye ulingo.
 
Kura ni siri hata mkeo atakushangaa kumlazimisha ampigie tundu na chama chenu kinajiita cha demokrasia
 
Ha ha ha ha ! Lisariti la nchi eti ligombee urais!! Huyo hatakanyaga Tz. Labda km hajipendi.
 
Hakika Mungu mtenda miujiza amejibu maombi yetu, kwa Tundu Lissu, aliyemiminiwa risasi zaidi ya 30 kwenye gari yake, hivi sasa bado yu hai na ameweza kutuma maombi ya kutaka kugombea Urais kwenye chama chake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…