Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16.

Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa risasi.." Mhe. Tundu A Lissu.

"Kwakuwa amesema ananipenda aseme ni nani aliyemkusudia auawe katika hotuba yake aliyoitoa wakati akipokea ripoti ya madini na kusema kuwa anamsumbua sumbua katika agenda yake ya madini na kwamba bora msaliti auwawe"-; Mhe Lissu

Akijibu mnishtue
 
[emoji23][emoji23], Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi[emoji44]? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Umpiganie dicteta muuaji. Ama kweli ukiwa CCM unakuwa brainless.

FB_IMG_15985459496001984.jpeg
FB_IMG_15985459911227458.jpeg
 
Unajitoa ufahamu? Inaitwa unajifanya hamnazo? Wewe hujui kwa nini TBC alifukuzwa? Hujui alikuwa anatekeleza maagizo tokea mbinguni?

Subiri kidogo sindano iwaingie.

Tafuta za namna gani? Hata zile risasi 16 utakuwa unadhani kuwa jiwe anasingiziwa tu.

Bila shaka yalikuwa ni mawe ya manati.
Ule UHUNU NA UFEDHULI wa kuamuru Lissu achapwe zile mvua za risasi tena kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA, lazima usemwe ili usije kujirudia tena. Na muda wa kusema maovu yote ni sasa, wewe unataka yasemwe lini?
 
Mnafiki kweli kweli bwana huyu:

1. Uchunguzi kuwabaini wauwaji uko wapi?
2. Matibabu kamnyima
3. Ubunge wamefukuza
4. Vyombo vya habari anamnyima

Hayo mapenzi yameanza lini?

Mshamba sana huyu bwana.
1-Uchunguzi unaendelea na hauwezi kukamilika hadi ahojiwe key person lakini kafichwa na Chadema ambaye ni Dereva wa lissu
2-Matibabu yana taratibu zake kisheria na kwa kuwa Chadema hawakutaka kufuata taratibu hizo isingekuwa rahisi serikali kugharamia matibabu ya mtu asiyetaka kufuata utaratibu.
3-Ilikuwa ni lazima afukuzwe Ubunge kwa mujibu wa sheria maana alikuwa ni mtoro sugu wa Bunge japo alikuwa anatibiwa huko alikokuwa lakini mamlaka zilikuwa hazimtambui kama zilivyokuwa kwenye gharama za matibabu.
4-Wakati wanazindua kampeni pale Mbagala Zakhiem walikuwepo TBC lakini baada ya kuona TBC wanatumia Drone kuchukua picha za mahali pale Chadema wakaona wanaumbuka kwa kukosa watu ndo Mwenyekiti wa Chadema akatumia staili ya kuwapumbaza wafuasi wake eti TBC imekata matangazo akawatimua kihuni kutoka hapo viwanjani, ilishangaza kwa kweli maana tulikuwa tunafuatilia live sasa aliposema TBC wamekata matangazo tukabaki na mshangao.
 
Tatizo la mgombea wa CCM hana sera wala hoja nzito za kuweza kuwavutia wananchi, siku zote yeye huongea mambo rahisi rahisi tu ambayo yanaonekana ni yenye tija kwa watu wenye akili duni na upofu wa kufikiria. Viongozi makini duniani huwa hazungumzii vitu vyepesi ktk nyakati za kampeni za uraisi, bali hushusha nondo zilizojaa madini tupu.

Haya ndiyo mapungufu ya kiongozi wa nchi kukwepa kuongea ama kushauriana na viongozi wengine mashuhuri hapa duniani kwa kificho cha kubana matumizi. Kwa kuwa anajikuta hawezi kuongelea mambo muhimu yenye kugusa maslahi mapana ya Watanzania wenye fikra pana.
Ni nondo gani unadhani anatakiwa kuzishusha?
 
Jiwe ana maswali makubwa ya kujibu. sulubu inamsubiri!

sky nisaidie ukitaka ku-quote sentensi mbali mbali then zote ukazijibu kwa pamoja unafanyaje?
Na mie pia nahitaji kujua
 
Magufuli oyeeeeeee, CCM safiiiiii safiiiiiii wapinzani waache waongeeeee hatukati tamaaa.
 
Lissu akitajiwa walioshiriki kuandaa shambulio lake atazirai kwani watu hao ni watu wake wa karibu sana! Huu si muda wa mambo haya. Uchaguzi utakapoisha atayajua mahakamani kwani wale mashahidi wawili muhimu kwenye kesi yake waliokuwa wanasubiriwa kurejea nchini sasa wamesharejea nchini.
Sasa si ndo wakati mzuri huu wa kutoa siri hizo, ili huyo lissu na wenzake waumbuke, mmelikoroga hilo lazima mlinywe.
 
Hizo ngonjera wapelekeeni watoto wa chekechea shule ya msingi kiembe samaki, Atleast they will buy that crap story of yours. Ninyi kwa kiherehere chenu mjue kuwa waliompiga risasi Lissu ni watu wake wa karibu na msiwakamate!? Ninyi hao?

Kama huwa mnawabambikia kesi ninini kimewapa uvumilivu wa kuwasitiri muda wote huo, wacheni unafiki. Mnawajua kuwa wapo jikoni na hawagusiki ndio maana mmekaa kimya.
Tena huyo meko kwa kuhemkwa na kupenda sifa, mbona angeweka press 1 kubwa San, kutoa hitimisho juu ya hilo,
Hakuna kudanganyika tena hapa.
 
Nimetolea mifano ya mikutano ya uzinduzi.
Ama ulitaka nitoe mfano wa mikutano ya Ikungi kijijini. Nayo iko pia. Karata ya uchaguzi mkuu 2020 mliyo isubiria kwa hamu nyie wapinzani wa JPM imebuma. Mtafute chengine.

Unajua maana ya kubuma? Ama umesikia hilo neno kubuma kisha ukalivaa kichwa kichwa?
 
Hili swali JPM akilijibu kwa ufasaha mimi nachukua kadi ya CCM kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe!!
Majibu anayo dreva mliye mficha asitoe ushahidi wa kuisaidia polisi kufanya uchunguzi.






MAGUFULI4LIFE.
 
“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16,

Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa risasi.." Mhe. Tundu A Lissu.

"Kwakuwa amesema ananipenda aseme ni nani aliyemkusudia auawe katika hotuba yake aliyoitoa wakati akipokea ripoti ya madini na kusema kuwa anamsumbua sumbua katika agenda yake ya madini na kwamba bora msaliti auwawe"-; Mhe Lissu

Huyu jamaa kama siyo NEC 28 angeingia Ikulu mapema
 
Si mlisema mnamsubiri Lissu ili uchunguzi uendelee, jamaa kafika mbona kimya?
Kama mlalamikaji L kauchuna yasifatiliwe polisi wana haja gani kuifatilia tamthilia ya yake. We huoni kama TL kauchuna movie yake isibumburuke.




MAGUFULI4LIFE.
 
Aisee natamani itolewe nafasi ya mdahalo kati ya Lissu na Magufuli ili kila mmoja atupe hoja na ufafanuzi na ajibu maswali ya papohapo toka upande mwingine, bila kuhamaki!
 
Back
Top Bottom