Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahahaCcm ni janga la taifa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaCcm ni janga la taifa hili
Wapelekeni vijana wa ccm. Unataka kusema ccm haiana vijana?Vijana wanatakiwa kujiandaa na michezo ya Olimpic na sio huu ujuha kalulu
Kuja ni yuleb bibi mwizi anayejiita kiongoziVijana wanatakiwa kujiandaa na michezo ya Olimpic na sio huu ujuha kalulu
Mbona anamfokea rais kama vile anaongea na mwanae..hata kama ni Uhuru ila kuna mda mnakua wapumbav chadema chama cha fujo tuh hakuna mtu anayejielewa akakifata chademaRais Samia usilete mambo ya ajabu ajabu ya Magufuli. Siku ya Vijana Duniani inasherehekewa duniani kote. Kwa nini mapolisi wako wanazuia vijana wa CHADEMA barabarani & kuwakamata? Matumizi ya mapolisi yalimshinda Magufuli, & wewe yatakushinda. Fungua barabara vijana waende Mbeya!
Kwa vijana wote mlioko & mnaoelekea Mbeya: Na Mimi niko njiani kuja Mbeya kuungana nanyi. Kama ni kuzuiliwa au kukamatwa, & mimi wanizuie au kunikamata. Huu sio wakati kukaa kimya, kuogopa au kuuma uma maneno. Ni wakati wa kusimama & kuhesabiwa. Tupaze sauti kwa nguvu zetu zote!
View attachment 3066839View attachment 3066838
Pia soma=> BAVICHA yaanza kuogopwa na watawala, Polisi watumika kuwakamata ili kuzuia wasihudhurie siku ya vijana duniani itakayofanyika Mbeya
Ona akili za bavicha hivi kweli hii ni hoja ? Me naona imekaa kichuki chuki tuh na kimaskini bhc ,Umeona watoto wa Samia au Kikwete wakishiriki hiyo Olympic, au unataka vijana wa Bavicha tu?
We mjinga kama jina lako.Vijana wanatakiwa kujiandaa na michezo ya Olimpic na sio huu ujuha kalulu
Haujielewi, haujitambui?Vijana wanatakiwa kujiandaa na michezo ya Olimpic na sio huu ujuha kalulu
Mkuu, wakati mwingine jina la mtu lina endana na alivyo!Vijana wanatakiwa kujiandaa na michezo ya Olimpic na sio huu ujuha kalulu
Mkuu, hata wewe UNATUMIKA ila haujitambui; kama kupe asivyo jitambua akiwa kwenye ngozi ya ng"ombe ambaye tayari amesha chinjwa (kafa).Barabara zimejengwa kwa fedha nyingi sana, alafu anatokea mpuuzi mmoja badala ya kuwashauri vijana watumie barabara hizo kujijenga kiuchumi, kusafirisha mizigo mbalimbali wapate vipato, au kujikita katika usafirishaji wa abiria au vijana wajikite katika shughuli za kujiinua kiuchumi maana ajira ni ngumu, anawashauri waandamane juu ya barabara na kuwazidishia umaskini, kwani maandamano sio shughuli ya kiuchumi, wanapoteza muda na kuzidi kuwa maskini, mpuuzi yeye anawatumia hao vijana kama mtaji wake, yeye anaingiza kipato na uchumi wake unakuwa, pumbaf
Lakini walio kaa kimya, hata huko CHADEMA ndio wanaotia shaka sana kuhusu yaliyoko huko ndani ya chama.. Huu sio wakati kukaa kimya, kuogopa au kuuma uma maneno. Ni wakati wa kusimama & kuhesabiwa. Tupaze sauti kwa nguvu zetu zote!
Tamko la Lissu ni Tamko la ChademaLakini walio kaa kimya, hata huko CHADEMA ndio wanaotia shaka sana kuhusu yaliyoko huko ndani ya chama.
Ndugu Tundulissu, kanyaga twende.
Hivi huyo uliye mjibu atakuelewa kweli, maana jibu hili ni zito sana!Mkuu, hata wewe UNATUMIKA ila haujitambui; kama kupe asivyo jitambua akiwa kwenye ngozi ya ng"ombe ambaye tayari amesha chinjwa (kafa).
Tuache masihara, mkuu 'Erythro' huu ni wakati wa kipekee sana. Tafadhali, jaribu kuelewa ninayo yawasilisha hapa. Sipo hapa kudadisiana na mtu yeyote. Nayasema ninavyo yaona yalivyo.Tamko la Lissu ni Tamko la Chadema