CCM chama dola kongwe wanatumia sana vyombo vya dola isivyo sahihi.
BREAKING NEWS :
Jeshi la Polisi Lapiga Marufuku Maandamano Siku Ya Vijana Duniani mjini Mbeya
View: https://m.youtube.com/watch?v=35weSy2QsOM
Hivi vijana wa Tanzania ambao wanataka kujumuika na vijana wenzao Duniani, kusheherekea Sikukuu yao mjini Mbeya na katazwa, ina maana Mbeya haipo Duniani?