Pre GE2025 Tundu Lissu amtahadharisha Rais Samia, amtaka aache mambo ya ajabu baada ya Polisi kuzuia vijana wa BAVICHA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huu ni wakati wa kutumia akili kubwa, hasa upande wa CHADEMA; nikiwa na maana ya wafuasi wa chama hicho wanao kataa kunuliwa na CCM.

Kwa yatakayo fuata kwenye tukio hili inawezekana ndio ukawa mtego wa kuwaondoa njiani ili CCM ipate pumzi ya kuendelea na mipango yake bila ya bughdha!

Jemedari vitani ni lazima ajue jinsi ya kuliamrisha jeshi lake na wakati sahihi wa kutumia mbinu husika. Kuna nyakati ni lazima kuepa mitego ya kizembe ili jeshi litoe pigo sahihi wakati mwafaka.
 
Kesho ni siku ya Vijana Duniani.

Ambapo vijana kama Taifa la Kesho wanakutana kuwa na National Dialogue ya pamoja kujadili mstakabali wa mambo yao na Nchi yao.

Wakati kama huu Majukwaa mbali mbali ya vyama mbali mbali hutumia fursa hii kuwakutanisha Vyama vya Vijana kuongelea mambo hayo.

Jambo la kushangaza ni namna ambavyo Magari yanayokusanya vijana wa Chadema.

Hata hivyo wababu hasa haijabainishwa.

Je ni hofu na woga kwamba vijana hawa watawafunika wale wenzao waliofanya Kambi Kule Zanzibar ambayo hata haisikiki?

View: https://youtu.be/1z-I16U3vvI?si=6hY5g1gg8soMW7Ux
 
Ndio tatizo la kuwa chini ya watu wasioweza kurusha mkojo hata hatua Moja toka waliposimama ni uoga uoga na ushenzi ushenzi tu
 
Wewe bila shaka yoyote ni masikini wa akili na hela


Wewe Chawa wa Mbowe, hooligan, crook and poorest human being, bring all your familly clan, huwezi nikuta kwa vyote, utabakia kuwa house boy wa Mbowe all your life..!!
 
Bure kabisa huyu jamaa,Hana adabu hata kidogo,akiwa Rais huyu nadhani atakuwa Rais wa kwanza asiye na adabu ulimwenguni. Taka taka kabisa huyu
 
Kihesa Kilolo
Iringa Tanzania

MAADHIMISHO NA KONGAMANO LA SIKU YA VIJANA DUNIA, MSAFARA WA CHADEMA WAZUIWA USIELEKEE MBEYA


View: https://m.youtube.com/watch?v=NR61OhD9dzo
Msafara wa magari ya vijana wa CHADEMA kutoka mikoa mbalimbali Shinyanga, Simiyu, Mara, Singida, Arusha, Kilimanjaro n.k wasimamishwa na traffic police huku polisi wengi wakiwa wazingira ....

Viongozi wa jeshi la Polisi mkoani Iringa wanasema wamesimamisha msafara huu wakitekeleza maelekezo kutoka juu....

Mwaka jana 2023 kongamano la CHADEMA kuadhimisha siku ya Vijana Duniani likifanyika bila shida yoyote ... mwaka juzi 2022 pia Kongamano la Siku ya Vijana Duniani likifanyika Shinyanga ambapo vijana toka kona zote za mikoa hawakuzuiliwa kwenda ktk makongamano hayo...


Vijana wa CHADEMA kupitia Baraza la Vijana CHADEMA wanahoji iwe vipi mwaka huu 2024 Kongamano la Mbeya linawekewa vikwazo kibao kitaifa,...
 
Ile mipuuzi ya CCM inayoandamana Zanzibar kusherekea hiyo siku ya Vijana ni mishetani ya wapi?
 
Vijana wa CHADEMA kupitia Baraza la Vijana CHADEMA wanahoji iwe vipi mwaka huu 2024 Kongamano la Mbeya linawekewa vikwazo kibao kitaifa,...

UPDATES
Kilolo, Iringa

Polisi wawazingira vijana wa CHADEMA waliokuwa wanaelekea Mbeya kuadhimisha Siku ya Vijana Duniani , Vijana wapakiwa ktk lori na kutupwa selo katika kituo cha Polisi mkoani Iringa


View: https://m.youtube.com/watch?v=ByHwUEB0Zkk
Makambako vijana kutoka Zanzibar , Pemba na Dar es Salaam Ubungo wazuiliwa eneo hilo.

Nako huko Mtera vijana kutoka mikoa ya Dodoma na Mwanza wamezuiliwa njiani Mtera wasiendelee na safari yao kufika Mbeya

Jumla ya coaster 200 zilikuwa zinaelekea Mbeya kutoka sehemu mbalimbali kuungana na,wenzao kufika ktk Kongamano la Siku ya Vijana mkoani Mbeya kitaifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…