Hivi vijana wa Tanzania ambao wanataka kujumuika na vijana wenzao Duniani, kusheherekea Sikukuu yao mjini Mbeya na katazwa, ina maana Mbeya haipo Duniani?CCM chama dola kongwe wanatumia sana vyombo vya dola isivyo sahihi.
BREAKING NEWS :
Jeshi la Polisi Lapiga Marufuku Maandamano Siku Ya Vijana Duniani mjini Mbeya
View: https://m.youtube.com/watch?v=35weSy2QsOM
Acha kutetea Madikteta unajishusha.Duh
Shujaa aachwe apumzike
Inashangaza sana.Kuna watu wanakitafuta kifo kwa bidii sana
Jiwe alikitafuta sana kifo akakipata
😟😒Kuna watu wanakitafuta kifo kwa bidii sana
Jiwe alikitafuta sana kifo akakipata
Vijana wanatakiwa kujiandaa na michezo ya Olimpic na sio huu ujuha kalulu
Wewe bila shaka yoyote ni masikini wa akili na hela
Bure kabisa huyu jamaa,Hana adabu hata kidogo,akiwa Rais huyu nadhani atakuwa Rais wa kwanza asiye na adabu ulimwenguni. Taka taka kabisa huyuRais Samia usilete mambo ya ajabu ajabu ya Magufuli. Siku ya Vijana Duniani inasherehekewa duniani kote. Kwa nini mapolisi wako wanazuia vijana wa CHADEMA barabarani & kuwakamata? Matumizi ya mapolisi yalimshinda Magufuli, & wewe yatakushinda. Fungua barabara vijana waende Mbeya!
Kwa vijana wote mlioko & mnaoelekea Mbeya: Na Mimi niko njiani kuja Mbeya kuungana nanyi. Kama ni kuzuiliwa au kukamatwa, & mimi wanizuie au kunikamata. Huu sio wakati kukaa kimya, kuogopa au kuuma uma maneno. Ni wakati wa kusimama & kuhesabiwa. Tupaze sauti kwa nguvu zetu zote!
View attachment 3066839View attachment 3066838
Pia soma=> BAVICHA yaanza kuogopwa na watawala, Polisi watumika kuwakamata ili kuzuia wasihudhurie siku ya vijana duniani itakayofanyika Mbeya
Ile mipuuzi ya CCM inayoandamana Zanzibar kusherekea hiyo siku ya Vijana ni mishetani ya wapi?Barabara zimejengwa kwa fedha nyingi sana, alafu anatokea mpuuzi mmoja badala ya kuwashauri vijana watumie barabara hizo kujijenga kiuchumi, kusafirisha mizigo mbalimbali wapate vipato, au kujikita katika usafirishaji wa abiria au vijana wajikite katika shughuli za kujiinua kiuchumi maana ajira ni ngumu, anawashauri waandamane juu ya barabara na kuwazidishia umaskini, kwani maandamano sio shughuli ya kiuchumi, wanapoteza muda na kuzidi kuwa maskini, mpuuzi yeye anawatumia hao vijana kama mtaji wake, yeye anaingiza kipato na uchumi wake unakuwa, pumbaf
Ya msingi ndio yapi?Bila JPM hana hoja nyingine sio?
Aendelee kuji-victimize badala ya kuzungumza ya msingi!
😆😆Olimpic ya Sikonge kule Tabora?
Vijana wa CHADEMA kupitia Baraza la Vijana CHADEMA wanahoji iwe vipi mwaka huu 2024 Kongamano la Mbeya linawekewa vikwazo kibao kitaifa,...
Kwa vijana wote mlioko & mnaoelekea Mbeya: Na Mimi niko njiani kuja Mbeya kuungana nanyi. Kama ni kuzuiliwa au kukamatwa, &