Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Anastahili. Ni mtu ninayemfahamu.Ameupiga mwingi anastahili....By the way kama Lissu amemuonq anafaa sisi tutapinga?
Siyo alikuwa timu Mwenyekiti huyo? Tuwekeeni picha ya makabidhiano ya fomu ya kugombeaMwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu amempendekeza kwa Baraza Kuu la chama hicho, John Mnyika aendelee kuwa Katibu Mkuu.
Mwalimu sidhani. Ila jee Kwa zenji nani atachukua nafasi yake?anastahili , anafaa sana Mnyika kukaa hapo .
Pia na Salim Mwalimu wote wamefanya Kazi nzuri .
Yeye ni kama "balance between". Wengine wakiruka juu yeye kazi yake itakuwa kuwawekea godoro ili wakishuka wasiumie.Tungeenda na Lema, Mnyika kafanya kazi nzuri ila ilifaa apumzike kwanza.
Mwalimu yupo smart Sana nimewahi kufanya nae Kazi katika taasisi fulani .Mwalimu sidhani. Ila jee Kwa zenji nani atachukua nafasi yake?
Lema ni kiongozi mzuri Ila nafasi Kama hii inamuhitaji mtu ambaye ana EI kubwa Kama Mnyika , MwakajokaTungeenda na Lema, Mnyika kafanya kazi nzuri ila ilifaa apumzike kwanza.
Salim Mwalimu ana kimeo cha covid 19.anastahili , anafaa sana Mnyika kukaa hapo .
Pia na Salim Mwalimu wote wamefanya Kazi nzuri .
Shida kwenye siasa inatakiwa uwe na misimamo.Mwalimu yupo smart Sana nimewahi kufanya nae Kazi katika taasisi fulani .
Ni vile hajapata jukwaa la yeye kuonesha uwezo wake.
Huwa natamani angepata hata ubunge tu .
Fanaleki zako Mwasi Kitokoatakata punzi tuh wala haina tabu wazee tunajua jinsi ya kucheza nae huyo kijana
Kama alikuwa neutral aendelee tu na nafasi hiyoIt's All Well! Mnyika amejitahidi Sana kuwa Neutral katika Uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti huku akizingatia maslahi mapana ya Chama.
Kwa hiyo nafasi husika inamtosha na hakuna mashaka kuwa atafanya vyema zaidi.
COVID 19 pamoja na hilo Ila the guy yupo smart Sana .Salim Mwalimu ana kimeo cha covid 19.
Mwalimu siyo kabisa.Mwalimu sidhani. Ila jee Kwa zenji nani atachukua nafasi yake?
Shida kwenye siasa inatakiwa uwe na misimamo.
Juzi kati alitliwa shaka mahusiano yake na mama wa Kizimkazi