Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?


Shame on me uko na wazimu nini wewe!?
Hebu nitolee povu lako jf is where we dare to speak openly unashangaza ukitaka wote tuwe na same opinion
By the way huwa nawa quote watu tunao fanana maoni huwa sijisumbui kuquote watu tunaopishana nao I suggest ujifunze hilo
Anahitaji msaada according to my opinion hutaki kunya boga
Next koma kunipangia cha kuchangia humu jf hunichangii bando wala nini,mshenzi mmoja,mxeew
 
Kwani wewe umemuewaje Lissu alikuwa akifanya reference ya mlinzi yupi? Vitu vingine havihitaji ujuaji
Mwenzio kauliza swali wewe ndio unakuja na assumptions zako. Mbona Alipo Rais kuhusu whereabouts ya Magufuli mlimuona hamnazo mwisho ilipodhihirika mlitokomea kusikojulikana?

Mlinzi mweusi ni huyo tu? Je mmemuona leo?

We kajamaa na wewe ni ut
 
Ametaja bana sio ndo hizo discription alizotoa mbona wabongo tunapenda kucomplicate mambo. Amesema ambaye yuko naye kila mahali mrefu mweusi sasa hao walinzi wengine unaowataja hawamatch profile aliyoielezea Lissu. He real meant the guy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…