Tundu Lissu ana cha kujifunza hapa, Siasa siyo Uadui


imhotep yale mambo yetu ya nusu mkate sasa 🤣
 
Amuoe nani huyu njaa kali watu watakuwa wanammegea tu hela mpaka amsifie Makonda na Kafulila ndiyo wamrushie hela vocha ndiyo ya kutunza mke?
 
Wewe CHAWA uliyekubuhu kama siasa sio uadui nini kilisababisha tundu lisu apigwe risasi?
 
Amuoe nani huyu njaa kali watu watakuwa wanammegea tu hela mpaka amsifie Makonda na Kafulila ndiyo wamrushie hela vocha ndiyo ya kutunza mke?
Acha ujinga wako wewe .tena ukimgusa huyo ephen itasababisha upigwe ban ya zaidi ya Mwaka mzima.
 
Siasa siyo uadui,siyo?Kwako wewe ambaye huwa unaanzisha nyuzi za kumtukana,kumkashifu na kumdunisha Tundu Lissu kwa kumuweka daraja moja na walima tumbaku wenzako wa Kajunjumele?Merde!
 
Acha ujinga wako wewe .tena ukimgusa huyo ephen itasababisha upigwe ban ya zaidi ya Mwaka mzima.
Yaani uone mke kwa hela ya kurushiwa baada ya kuandika pambio la kumsifia mtu wahuni watakugongea mkeo na huyo mwanamke atakudharau kwa kuishi kwa uchawa.
 
Tundu Lissu ana asili ya roho mbaya sana, yeye ndio hataki akina Mdee wasamehewe. Ukiwa na Rais wa hivyo anaweza kuua watu wengi sana kuliko hata jiwe.
 
Wakifurahia jambo, jambo gani?

Hebu tuweke wazi hapo
 
Lishe duni, elimu duni, uzazi usio wa mpangilio, kujichua, unywaji uliokithiri wa mataputapu, watoto wa kupata uzeeni n.k.
Hizi ni baadhi ya sababu zinaweza kusababisha kuwa na akili za mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…