Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 324
- 649
MH LISU ANA TATIZO LA ANXIETY DISORDER?
Na Elius Ndabila
Anxiety disorder kwa kiswahili ni Ugonjwa wa Wasiwasi(ugonjwa wa Mashaka mashaka). Nieleweke kwamba kuwa na wasiwasi ni jambo la kawaida kwa mwanadamu, hivyo kwa sababu wasiwasi ni jambo la kawaida, ni mhimu kutofautisha baina ya kuwa na wasiwasi unaoletwa na matokeo ya kawaida ya maisha na dalili za ugonjwa wa wasiwasi.
Magonjwa ya wasiwasi huathiri mtu anavyofikiri, anavyohisi na pia tabia zake. Asipotibiwa mapema, maisha yake hutatizika mno. Hata hivyo, matibabu ya wasiwasi humtibu mtu kikamilifu.
Mh Lisu ambaye ni mgombea wa nafasi ya Urais nafasi kubwa kabisa katika nyadhifa zozote nchini nimekuwa ninamfananisha na mtu mwenye ugonjwa wa Anxiety disorder baada ya kupima dalili za ugonjwa huu na matendo anayofanya Mh Lisu. Ikumbukwe kuwa Mh Lisu akiwa nchini Ubelgiji alikokuwa akipatiwa matibabu ya kujeruhiwa na Risasi alianza kutoa matamko kadhaa pale alipoanza kuwa na dalili za kurejea nchini. Akiwa nchini Ubelgiji aliwahi kusema kuwa anaomba Ulinzi atakaporejea nchini, lakini serikali ilipuuza kwa kuwa ulinzi kwa mjibu wa sheria za nchi yetu ni kila Raia Ni mlinzi.
Haikutosha alisisitiza kuwa akirejea nchini serikali inajiandaa kumkamata na kumtengenezea kesi. Alisema hayo akijua fika mtu anayekamatwa ni mhalifu tu na mwenye dalili ya kufanya uhalifu. Lakini baada ya kuona serikali haina muda na matamshi yake na yeye akitamani serikali ifanye hivyo ili aendelee kupata hifadhi ya kisiasa (political asylum ambayo imekuwa affirmed by article 14 of UDHR) huko Ubelgiji yeye kwa kushirikiana na chama chake walitengeneza maandamano ya kughushi kutoka Airport mpaka Ufipa, SERIKALI ILIWAPUUZA ikiamini jibu la mpuuzi ni kumpuuza. Baada ya jaribio hilo kukwama kwa maana ya kuvitikisa vyombo kesho yake walijaribu kwenda uwanja wa uhuru kuuga mwili kwa kuchelewa wakazuiliwa. Baada ya hapo alipata agenda ambayo alitembea nayo wiki nzima kwenye vyombo vya habari vya kimataifa baada ya vyombo vya ndani kugundua kuwa huyu ni *AN ANXIETY DISORDER*.
Majaribio yote yalikwama, lakini baada ya kutangazwa na chama chake kugombea Urais akiwa anatafuta wadhamini 200 kwa mikoa kumi amekuwa akifanya maandamano na kutoa shutuma kubwa kwa viongozi wa serikali. Ilifika mahali akasema tume inajiandaa kumwengua kwenye mchakato. Alifanya hivyo kama *RHETORICAL QUESTION* kwa kuwa alisema na kujijibu. Baada ya kuona tume haina mpango naye basi baada ya kuanza kampeni ametia muda mrefu kulalamika.
Nafasi anayogombea Mh Lusu ni kubwa na inataka utulivu wa akili. Mh Lisu atawathibitishia vipi watanzania kuwa akipewa nafasi hii atafanya kazi vizuri wakati anatumia muda mwingi kuhemusha na kuzusha? Ni kweli Lisu anataka Urais au lengo lake ni kukusanya fedha za CDM Kama ambavyo wamekuwa wakiwachangisha Wafuasi wao kwenye kampeni ili zikamsaidie kwenye life after election?
Kugombea Urais ni haki ya kila mtanzania aliyekidhi vigezo vya kikatiba, LAKINI KUWA RAIS SI HAKI YA KILA MTU. KUNA WATU WAKIPATA URAIS HATA KWA DAKIKA 10 TU NCHI ITAUZWA. Mh Lisu is among of them.
Ukisoma moja ya dalili za ugonjwa wa Wasiwasi I mean generalized anxiety disorder Ni watu waliothiriwa hujibabaisha kuhusu hatari inayoweza wajia na hubabaika huja na huzuni na pia hali ya kushituka. Mh Lisu amekuwa hivyo kwenye social phobia wakati mwingine naweza sema ugonjwa huu ni Obsessive compulsive disorder (Ugonjwa wa kujilazimisha). Hivi kama Lisu ataumwa ugongwa huu si atakuwa amejilazimisha? Atakuwa amejilazimisha kwa kuwa Lisu kupambana na JPM Ni sawa na kubeba jiwe la uzito wa Tani Mbili kichwani. Bora kuwa na specific phobia kuliko Obsessive compulsive disorder.
Mh Lisu alipaswa kuwa na Post traumatic stress disorder, angekuwa hivi asingeingia kwenye mchakato kwani ingemsaidia kujua kuwa hata shinda hivyo asipoteze muda.
Na Elius Ndabila
Anxiety disorder kwa kiswahili ni Ugonjwa wa Wasiwasi(ugonjwa wa Mashaka mashaka). Nieleweke kwamba kuwa na wasiwasi ni jambo la kawaida kwa mwanadamu, hivyo kwa sababu wasiwasi ni jambo la kawaida, ni mhimu kutofautisha baina ya kuwa na wasiwasi unaoletwa na matokeo ya kawaida ya maisha na dalili za ugonjwa wa wasiwasi.
Magonjwa ya wasiwasi huathiri mtu anavyofikiri, anavyohisi na pia tabia zake. Asipotibiwa mapema, maisha yake hutatizika mno. Hata hivyo, matibabu ya wasiwasi humtibu mtu kikamilifu.
Mh Lisu ambaye ni mgombea wa nafasi ya Urais nafasi kubwa kabisa katika nyadhifa zozote nchini nimekuwa ninamfananisha na mtu mwenye ugonjwa wa Anxiety disorder baada ya kupima dalili za ugonjwa huu na matendo anayofanya Mh Lisu. Ikumbukwe kuwa Mh Lisu akiwa nchini Ubelgiji alikokuwa akipatiwa matibabu ya kujeruhiwa na Risasi alianza kutoa matamko kadhaa pale alipoanza kuwa na dalili za kurejea nchini. Akiwa nchini Ubelgiji aliwahi kusema kuwa anaomba Ulinzi atakaporejea nchini, lakini serikali ilipuuza kwa kuwa ulinzi kwa mjibu wa sheria za nchi yetu ni kila Raia Ni mlinzi.
Haikutosha alisisitiza kuwa akirejea nchini serikali inajiandaa kumkamata na kumtengenezea kesi. Alisema hayo akijua fika mtu anayekamatwa ni mhalifu tu na mwenye dalili ya kufanya uhalifu. Lakini baada ya kuona serikali haina muda na matamshi yake na yeye akitamani serikali ifanye hivyo ili aendelee kupata hifadhi ya kisiasa (political asylum ambayo imekuwa affirmed by article 14 of UDHR) huko Ubelgiji yeye kwa kushirikiana na chama chake walitengeneza maandamano ya kughushi kutoka Airport mpaka Ufipa, SERIKALI ILIWAPUUZA ikiamini jibu la mpuuzi ni kumpuuza. Baada ya jaribio hilo kukwama kwa maana ya kuvitikisa vyombo kesho yake walijaribu kwenda uwanja wa uhuru kuuga mwili kwa kuchelewa wakazuiliwa. Baada ya hapo alipata agenda ambayo alitembea nayo wiki nzima kwenye vyombo vya habari vya kimataifa baada ya vyombo vya ndani kugundua kuwa huyu ni *AN ANXIETY DISORDER*.
Majaribio yote yalikwama, lakini baada ya kutangazwa na chama chake kugombea Urais akiwa anatafuta wadhamini 200 kwa mikoa kumi amekuwa akifanya maandamano na kutoa shutuma kubwa kwa viongozi wa serikali. Ilifika mahali akasema tume inajiandaa kumwengua kwenye mchakato. Alifanya hivyo kama *RHETORICAL QUESTION* kwa kuwa alisema na kujijibu. Baada ya kuona tume haina mpango naye basi baada ya kuanza kampeni ametia muda mrefu kulalamika.
Nafasi anayogombea Mh Lusu ni kubwa na inataka utulivu wa akili. Mh Lisu atawathibitishia vipi watanzania kuwa akipewa nafasi hii atafanya kazi vizuri wakati anatumia muda mwingi kuhemusha na kuzusha? Ni kweli Lisu anataka Urais au lengo lake ni kukusanya fedha za CDM Kama ambavyo wamekuwa wakiwachangisha Wafuasi wao kwenye kampeni ili zikamsaidie kwenye life after election?
Kugombea Urais ni haki ya kila mtanzania aliyekidhi vigezo vya kikatiba, LAKINI KUWA RAIS SI HAKI YA KILA MTU. KUNA WATU WAKIPATA URAIS HATA KWA DAKIKA 10 TU NCHI ITAUZWA. Mh Lisu is among of them.
Ukisoma moja ya dalili za ugonjwa wa Wasiwasi I mean generalized anxiety disorder Ni watu waliothiriwa hujibabaisha kuhusu hatari inayoweza wajia na hubabaika huja na huzuni na pia hali ya kushituka. Mh Lisu amekuwa hivyo kwenye social phobia wakati mwingine naweza sema ugonjwa huu ni Obsessive compulsive disorder (Ugonjwa wa kujilazimisha). Hivi kama Lisu ataumwa ugongwa huu si atakuwa amejilazimisha? Atakuwa amejilazimisha kwa kuwa Lisu kupambana na JPM Ni sawa na kubeba jiwe la uzito wa Tani Mbili kichwani. Bora kuwa na specific phobia kuliko Obsessive compulsive disorder.
Mh Lisu alipaswa kuwa na Post traumatic stress disorder, angekuwa hivi asingeingia kwenye mchakato kwani ingemsaidia kujua kuwa hata shinda hivyo asipoteze muda.