Tundu Lissu ana tatizo la an Anxiety disorder?

Duuh jamaa anazo dalili zote ulizozitaja.
 
Sasa mbona kupitia huu uandishi naona kama unatatizo kubwa kuliko hilo unalotaka kumpachika TAL? Bora lake umejitahidi kulitafutia jina lakini wewe unashida kubwa zaidi.
 
Kwanini usimwongelee Magufuli na sera zake. Yaani imekuwa kumuongea lissu vibaya ni bora kuliko kumwongelea Magu vizuri kwa washabiki wa Magu😂. Unaongelea mambo ya afya ambayo huna ushahidi wowote
 
Hujui kitu kamanda
Wewe jamaa acha kudanganya watu,

1 Disorder maana yake sio ugonjwa
2 Anxiety maana yake sio uoga

Anxiety ni wasi wasi mfano wa anxiety ni pale CCM wanapofurahia kupita bila kupingwa.
 
Angekuwa anamuogopa Magufuli asingekuwa ana mnanga kila siku kwenye majukwaa na angekuwa anahofia vyombo vya ulinzi asingerudi Tanzania.

You can’t place anxiety on Lissu based on observation.

Matatizo yake ni mengi kwanza ana personality yenye elements za narcism (delusional of his social importance) that was there before his plight na sasa kaongeza stress kikubwa ni kuishi kwa hasira na kutokubali ukweli.

He needs help bila ya msaada itampeleka pabaya sana hasa baada ya Magufuli kushinda uchaguzi, mtu ambae akubali kama ni powerful kushinda yeye kwenye kichwa chake.
 
Umeandika kwa utulivu na umakini
Wasiokuelewa watakushambulia
 
Wewe jamaa acha kudanganya watu,

1 Disorder maana yake sio ugonjwa
2 Anxiety maana yake sio uoga

Anxiety ni wasi wasi mfano wa anxiety ni pale CCM wanapofurahia kupita bila kupingwa.
Jamaa yenu anahitaji tiba ya hayo maradhi unayoyakana
 
Elias
acha kuandika upupu huu, tunayejukujua ulivyo mwomaji wa rushwa halafu unaandika maneno kama haya unashamgaz. upo kwenye nyumba ya “kipi “ unataka turushe mawe?
Hakika hoja imewakamata utosi.

Lisu anahitaji attention ya madaktari
 
Mwenye ungonjwa huu Ni huyo anayeuogopa upinzani wakati aliwafunga mikono na midoma kwa miaka mitano. Akafikiri amewauwa, huku yeye akijitangaza wema wake kila siku kila mtaa. Huyo ndiye mgonjwa.
 
Magufuli ana tatizo gani?Vipi Membe naye?Vipi Hashimu Rungwe?
 
inaitwa ATTENTION DEFICIT HYPERACTIVE DISORDER...ndio maana kila tukio hulidakia na kutaka kulisemea
Sio poa kubatiza magonjwa kwa wenzenu wakati nyie wenyewe ni wagonjwa watarajiwa.
Hata kama lkn ugonjwa ni siri ya mgonjwa na dactari, ongeza na Mungu
 
Uwe na huruma,ungekua wewe mwiba tuu ungekua umekufa zamani.acha roho mbaya,haikusaidii chochote,ifuate dini yako na maandiko yanasemaje. itakusaidia wewe,mkeo,mamako,babako na wanao.ccm oyee
Naloli ukalele fijo, ingamu syosa isyo syafiki?
 
Mataga hakuna neno hamtaandika safari hii!Mpaka mtatembea na makopo kichwani,chezea Lissu wew!!!!!!!
Na bado dozi inaendelea,mpaka miezi hii miwili iishe mtakuwa hoi kwa uchovu!!!!
 
Lissu amewachanganya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…