Tundu Lissu ana tatizo la an Anxiety disorder?

We ujaona campaign za Magu anavyotabasamu na singeli juu anacheza hana hata habari na povu la Lissu.
Moyoni anaumia mno!Yaani kweli mwanza anakotokea pamoja na kwamba alizuia wasibomolewe nyumba zao ila wanamuita Lissu Rais??Lazima anaugulia maumivu kisirisir!😂😂
 


Daktari mbona unaandika tu kwenye keyboard hwendi kumsaidia mgonjwa .Naona kama ugonjwa huo umekuanza wewe na huyo aliyekutuma
 
Jana nilisema mahali mkianzisha ugomvi msigeuke na kuanza kutumia visivyohitajika. Mmeomba kampeni ya kistaarabu wenzenu wanafanya mnaanza matusi. Mkipigwa msikimbilie time na kwingineko.

jana mlitupa jiwe mkajibiwa Leo mmesema anaeneza chuki.

mtapata mnachokitafuta
 
Moyoni anaumia mno!Yaani kweli mwanza anakotokea pamoja na kwamba alizuia wasibomolewe nyumba zao ila wanamuita Lissu Rais??Lazima anaugulia maumivu kisirisir!😂😂
Kama Singida audience aliyoipata Magufuli barabarani ni kubwa kushinda watu aliokusanya Lissu; unadhani akienda Mwanza uwanja wa Kirumba utatosha.

Huu uchaguzi ni wa Magufuli wengine wanatimiza matakwa ya kikatiba tu, sasa aina maana awatapata wapambe katika pitapita zao.

Muulize Membe kwanini kaamua kuanzia campaign yake Lindi keshaona upepo watu wa Dar washaamua miaka mitano mingine ya Magufuli.
 


Yaani watu wa Dar walishaamua miaka mingine mitano waendelee kunya Povu na wawaache viongozi wa CCM na family zao wanye mavi ??
 
Huyu huyu Tundu Lissu mwenye Attention Disorder ndiye tunamtaka. Na dawa ya attention disorder ni kumpa kura aingie Ikulu
 
Kuna kitu inabidi nyie mnaokuja na masred yenu marefu muwe mnatufafanulia kirahisi ili sisi wanaccm wenzenu tuelewe...
Anazusha nini, ili kifafanuliwe kwa hoja
Anamtukana nani, na tusi gani...

Msituchanganye la sivyo tutajua ni kweli na tutawachinjia baharini mwaka huu msipokuja na hoja za maana
 

Ama kweli mmechangajikiwa.
Mwenye tatizo ni nani kati ya Lissu na aliyekuwa anafanya kameni yeye na chama chake peke yao kwa muda wa miaka mitano iliyopita na mpaka sasa anaendelea huku akiwa na wasiwasimkubwa wa kutopewa kura?
 
Piga chini Magufuli,rais wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania!
Alidhani ameua upinzani,watanzania wamemjibu vizuri kabisa!Ajitafakari
 
Mmeshindwa kwa hoja mmedandia hoja ya ugonjwa@ hamjui kuwa wasiwasi ndio akili.
 
Piga chini Magufuli,rais wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania!
Alidhani ameua upinzani,watanzania wamemjibu vizuri kabisa!Ajitafakari
We subiri October 28 ndio upate jibu la maamuzi ya watanzania.

Lissu anaomba kazi iliyo juu ya uwezo wake kila kitu ana ahidi atafanya ni watu wa ovyo tu ndio wanaoamini porojo za Lissu.
 
We subiri October 28 ndio upate jibu la maamuzi ya watanzania.

Lissu anaomba kazi iliyo juu ya uwezo wake kila kitu ana ahidi atafanya ni watu wa ovyo tu ndio wanaoamini porojo za Lissu.
Mtu wa hovyo ndiye atayeamini upuuzi wa CCM kutengeneza ajira mil 8 wakioewa ridhaa!
Kama JPM mtu aliyefaa kuwa Nyampara wa barabara kawa Rais,basi hakuna anayeshindwa kuwa Rais!
 
Kwahiyo?
 
Kujua hilo kutoka kwake inamsaidia nini mtanzania masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…