Pre GE2025 Tundu Lissu anapata wapi nguvu ya kufanya Mikutano wiki 3 mfululizo Kijiji kwa Kijiji?

Pre GE2025 Tundu Lissu anapata wapi nguvu ya kufanya Mikutano wiki 3 mfululizo Kijiji kwa Kijiji?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
 
Mikutano yake naona anatoa shule kwa Wananchi wa kawaida. Hii kitu CCM wasiiichukulie poa maana Wapiga kura hao wa vijijini wakielemika huwa wanakengeuka mazima. Jamaa yupo serious, na CHADEMA wakimzungua akianzisha Chama, CHADEMA kwisha habari yake
 
Mikutano yake naona anatoa shule kwa Wananchi wa kawaida. Hii kitu CCM wasiiichukulie poa maana Wapiga kura hao wa vijijini wakielemika huwa wanakengeuka mazima. Jamaa yupo serious, na CHADEMA wakimzungua akianzisha Chama, CHADEMA kwisha habari yake
Unakumbuka Ile Ya Dodoma Alipofafanua Katiba Nchi Ikawa Juu

CCM Walishindwa Kujibu Hoja Wao Wanasema Asitugawe Hawataji Vifungu Vya Katiba
 
Unakumbuka Ile Ya Dodoma Alipofanunua Katiba Nchi Ikawa Juu
CCM Walishindwa Kujibu Hoja Wao Wanasema Asitugawe Hawataji Vifungu Vya Katiba
Hii elimu anayotoa Lissu siyo ya kitoto unakuta mkutano wote kimyaaa wanakula chakula ya ubongo. Mazwazwa Makalla na bosi wake Nchimbi wanatoa pumba tu kumjadili Lissu badala ya kupangua hoja zake.
 
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lisu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa Wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄

..umesahau Sosopi na Askofu Mwanamapinduzi.
 
Hata maandalizi ya majukwaa hua ni chap kwa haraka ili wasipoteze muda kwenda kugawa elimu sehemu nyingine.

IMG_20230525_060347.jpg
 
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lisu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa Wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
Nguvu anaipata toka kwa Mungu wa mbingini aliyemwepusha na kifo kilichopangwa na yule shetani, nduli. aliyelala pale chato
 
K
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lisu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa Wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
Itafahamika hizo nguvu anatoa wapo mzee mangi anamfuatilia kwa karibu!
 
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lisu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa Wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
Si mlisema hayupo CDM? Anatumia chama gani kufanya mikutano Kijiji to kijiji?😡😡😡😡😡
 
Back
Top Bottom