halfcastmangi
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 605
- 1,644
Inawezekana una maana nzuri ila swali umekosea kuuliza, ilitakiwa uulize anatoa wapi rasilimali pesa, ila nguvu anatoa kwa Mungu pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa Wanachanga wananchi wanaohudhuria mikutano!
Wewe hujui kuwa fedha ni Nguvu namba 2 baada ya pumziInawezekana una maana nzuri ila swali umekosea kuuliza, ilitakiwa uulize anatoa wapi rasilimali pesa, ila nguvu anatoa kwa Mungu pekee.
Alaah! Kwahiyo wewe hutaki wananchi waelimishwe?Mikutano yake naona anatoa shule kwa Wananchi wa kawaida. Hii kitu CCM wasiiichukulie poa maana Wapiga kura hao wa vijijini wakielemika huwa wanakengeuka mazima. Jamaa yupo serious, na CHADEMA wakimzungua akianzisha Chama, CHADEMA kwisha habari yake
Kipara bila akili ni Sawa takoK
Itafahamika hizo nguvu anatoa wapo mzee mangi anamfuatilia kwa karibu!
Lisu hafai kupewq nafasi ya kueleza jambo , chawa hao 😀😀. Wanatamani jamaa awe bubuUnakumbuka Ile Ya Dodoma Alipofafanua Katiba Nchi Ikawa Juu
CCM Walishindwa Kujibu Hoja Wao Wanasema Asitugawe Hawataji Vifungu Vya Katiba
Shuld gani. Hivi mbona manapend kimoverate sana lisu wakati ni kilaza?Mikutano yake naona anatoa shule kwa Wananchi wa kawaida. Hii kitu CCM wasiiichukulie poa maana Wapiga kura hao wa vijijini wakielemika huwa wanakengeuka mazima. Jamaa yupo serious, na CHADEMA wakimzungua akianzisha Chama, CHADEMA kwisha habari yake
ephen_ mlete Lucas Mwashambwa aje aisome hii post 🤣🤣🤣Mikutano yake naona anatoa shule kwa Wananchi wa kawaida. Hii kitu CCM wasiiichukulie poa maana Wapiga kura hao wa vijijini wakielemika huwa wanakengeuka mazima. Jamaa yupo serious, na CHADEMA wakimzungua akianzisha Chama, CHADEMA kwisha habari yake
Mke wake ni C.I.A, mzungu, huwezi jua, labda hilo shirika la kijasusi linafadhiliUkiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha
Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼
Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
😂 😂 😂 😂Lisu hafai kupewq nafasi ya kueleza jambo , chawa hao 😀😀. Wanatamani jamaa awe bubu
Lissu anafanya kazi ya kumshambulia Mbowe na kundi lake ndio maana unaona anaongea vitu vinavyoendelea kuigawa CHADEMAephen_ mlete Lucas Mwashambwa aje aisome hii post 🤣🤣🤣
Huenda amekuibia, cheki mifuko yako.Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha
Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼
Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
😂 😂 😂 😂Lissu anafanya kazi ya kumshambulia Mbowe na kundi lake ndio maana unaona anaongea vitu vinavyoendelea kuigawa CHADEMA
CCM wanatamani chadema iparaganyike.watasubiri sana hili lichama linaenda kwa mchakato wa kidemokrasia kama lilivyo jina lake. halina mtafaruku.Hiyo ndiyo CHADEMA nguvu moja hakuna mtafaruku kama ambavyo propaganda za chama dola kongwe CCM inavyoombea.
Hataree denjaNi moto .
Kungekuwa hakuna mtafaruku basi Lissu asingesuswa kiasi hiki. Makamu mwenyekiti wa chama kuzunguka peke yake ni ushahidi usiotia shaka kwamba wenzake wamemsusa. WanaCCM tunampongeza sana Mbowe kwa kumsusa Lissu. Ikiwezekana amfukuze kabisa.Hiyo ndiyo CHADEMA nguvu moja hakuna mtafaruku kama ambavyo propaganda za chama dola kongwe CCM inavyoombea.