Pre GE2025 Tundu Lissu anapata wapi nguvu ya kufanya Mikutano wiki 3 mfululizo Kijiji kwa Kijiji?

Pre GE2025 Tundu Lissu anapata wapi nguvu ya kufanya Mikutano wiki 3 mfululizo Kijiji kwa Kijiji?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
Yule bibi akiwa mgombea 2025, hawezi kwenda Kijiji kwa Kijiji. Umri ni shida, na ule mwilinna vumbi hawezi.
Hii ni mbinu mpya ya chadema
 
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
Kuna kitu kinaitwa 'burn out'. Awe mwangalifu sana asijikute nguvu zinamwishia hata kabla ya kufikia nusu ya lengo.
Ni hivi: Tundu Lissu anafanya kazi ambayo ingepashwa ifanywe na viongozi wa maeneo husika. Wakati huu Sekretariati makao makuu wangekuwa wameandaa ratiba kote nchini ili viongozi hao waikamilishe vizuri kazi hiyo. Baada ya hapo sasa, ndipo akina Tundu Lissu wangepita maeneo hayo kwa kujumuishwa na kusawazisha na kuhimiza yaliyofanywa na viongozi wa maeneo.

Ubaya ni kuwa sioni kama hii mikutano ya Lissu imewekwa kimkakati na kuratibiwa na makao makuu kwa mpangilio unaoeleweka.
Ukijumuisha na haya yanayotokea ndani ya chama sasa hivi, inawezekana sana Tundu Lissu akawa anachoshwa tu kwa kufanya kazi hii ngumu sana peke yake.
 
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
LISU NI MWALIMU WA URAIA NA MAARIFA YA JAMII..WAKATI ANASAKA UBUNGE MWAKA 2010..ALIENDA NA MAGARI MAPYA AKAZUNGUKA MIAKA MINNE KUANZIA 2006 MPAKA 2010. SOMO LILIKUWA KALI NA LA KUELEWEKA. KILA KIJIJI WALIMJUA MWAMBA.MKOA MZIMA ALIPITA KILA KIJIJI..HATA KAMA NI NDANI KIASI GANI JAMAAA ALIFIKA ..MPAKA KWENYE VITONGOJI..GARI ZIKACHAKAA.. SOMO LILIELEWEKA WANYATURU WAKAWA WABISHI, HUWAMBII KITU, 2010 JAMAAA ALIBEBA JIMBO KIULAINI SANA
 
Kungekuwa hakuna mtafaruku basi Lissu asingesuswa kiasi hiki. Makamu mwenyekiti wa chama kuzunguka peke yake ni ushahidi usiotia shaka kwamba wenzake wamemsusa. WanaCCM tunampongeza sana Mbowe kwa kumsusa Lissu. Ikiwezekana amfukuze kabisa.
Hakuna mtafaruku..hapo LISU anajua anachosimamia.hata 2006. Ilikuwa hivyo Singida..alizunguka Mkoa akiwa peke yake..
 
Tatizo watu anaowahutubia likipita gari la pilau na soda za jamkaya wote wanawahi kihepe
 
LISU NI MWALIMU WA URAIA NA MAARIFA YA JAMII..WAKATI ANASAKA UBUNGE MWAKA 2010..ALIENDA NA MAGARI MAPYA AKAZUNGUKA MIAKA MINNE KUANZIA 2006 MPAKA 2010. SOMO LILIKUWA KALI NA LA KUELEWEKA. KILA KIJIJI WALIMJUA MWAMBA.MKOA MZIMA ALIPITA KILA KIJIJI..HATA KAMA NI NDANI KIASI GANI JAMAAA ALIFIKA ..MPAKA KWENYE VITONGOJI..GARI ZIKACHAKAA.. SOMO LILIELEWEKA WANYATURU WAKAWA WABISHI, HUWAMBII KITU, 2010 JAMAAA ALIBEBA JIMBO KIULAINI SANA
Hili la ubunge ni sahihi kabisa kufanya kama ulivyo elezea, lakini kwa Tanganyika nzima, haliwezekani. Ni lazima pawepo na mkakati maalum unaomwezesha kuvuna alichopanda hata katika sehemu ambazo hakupata nafasi ya kuzifikia kwa mikutano.
 
Hili la ubunge ni sahihi kabisa kufanya kama ulivyo elezea, lakini kwa Tanganyika nzima, haliwezekani. Ni lazima pawepo na mkakati maalum unaomwezesha kuvuna alichopanda hata katika sehemu ambazo hakupata nafasi ya kuzifikia kwa mikutano.
Nadhani ameanzia nyumbani
 
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
Watakaosoma katikati ya mistari ndio watakuelewa,ila ukiwa hoyahoya utatoka kapa😊
 
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha

Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼

Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
Tumpime mkojo, asije akawa anatumia madawa kujiboost
 
SAWA.
Baada ya hapo apange 'smart campaign' isiyohitaji kuwa kila sehemu 'physically'.
Hii siyo kampeni ya mtu mmoja, hii ni kampeni ya chama.
Tanzania wanachagua MTU

Ndio Sababu Lowassa alipata Kura nyingi za wanaCCM japo alikuwa Chadema
 
Back
Top Bottom