Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'SMART CAMPAIGN' itabadilisha yote hayo.Tanzania wanachagua MTU
Ndio Sababu Lowassa alipata Kura nyingi za wanaCCM japo alikuwa Chadema
Smart campaign watafanya Mbowe na Mrema kwa Chopa'SMART CAMPAIGN' itabadilisha yote hayo.
Tanzania haiwezi kuendelea kuwa gizani miaka yote, nyakati zimebadilika.
Uzuri ni kwamba shughuli hiyo itamsaidia kupunguza kitambi!Smart campaign watafanya Mbowe na Mrema kwa Chopa
Huyu Tundu Lisu ataendelea kuungwa mkono Kijiji kwa Kijiji hadi tuimalize Tanganyika yote dadeki 😂😂🔥
Kumfukuza mwanasiasa uhamishoni tena akiwa na risasi mwilini ni kumtengenezea pesa. Lissu na familia yake siyo watu tena wa kutegemea pesa ya madafu kuendesha mambo yake. Au tuseme anatumia michango anayochangiwa kununua gari jipya.labda swali lingekuwa anapata wapi pesa?
Kama kipi Cha kuigawa CDM?Lissu anafanya kazi ya kumshambulia Mbowe na kundi lake ndio maana unaona anaongea vitu vinavyoendelea kuigawa CHADEMA
Wajuvi wanasema anafadhiriwa na wazungu, CIA na TISS ya Ubeleji.labda swali lingekuwa anapata wapi pesa?
Ni sawa waende wakale, lakini kilichoingia ubongoni mwao hakifutiki kirahisi. TL anafanya kazi ya kitume.Tatizo watu anaowahutubia likipita gari la pilau na soda za jamkaya wote wanawahi kihepe
Labda alipumzk sana kitandani ana energy now...acha atoe sumu mwilini mwaka na duku duku loteUkiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha
Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu 🐼
Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha 😄
Mlinganishe na bi msugua vicarage shit!Shuld gani. Hivi mbona manapend kimoverate sana lisu wakati ni kilaza?
Steve Nyerere anamtoa knockoutMlinganishe na bi msugua vicarage shit!
Wajuvi au wambea na wafitini kutoka CCM?Wajuvi wanasema anafadhiriwa na wazungu, CIA na TISS ya Ubeleji.
Look ass 🤣🤣🤣🤣Kwa mtu kama Look us mwashwambwa mada za lissu zinaingilia makalioni na kutokea mdomoni Lucas Mwashambwa
Hi hi hi look arsehole mwashambwaLook ass 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Mke wake ni C.I.A, mzungu, huwezi jua, labda hilo shirika la kijasusi linafadhili
Wow, povu kama lote!Wajuvi au wambea na wafitini kutoka CCM?
Inashangaza mtu mzima kutumia neno ndivyo sivyo, unless ni mmoja wao..."mwana propaganda".