johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unakumbuka Ile Ya Dodoma Alipofafanua Katiba Nchi Ikawa JuuMikutano yake naona anatoa shule kwa Wananchi wa kawaida. Hii kitu CCM wasiiichukulie poa maana Wapiga kura hao wa vijijini wakielemika huwa wanakengeuka mazima. Jamaa yupo serious, na CHADEMA wakimzungua akianzisha Chama, CHADEMA kwisha habari yake
Hii elimu anayotoa Lissu siyo ya kitoto unakuta mkutano wote kimyaaa wanakula chakula ya ubongo. Mazwazwa Makalla na bosi wake Nchimbi wanatoa pumba tu kumjadili Lissu badala ya kupangua hoja zake.Unakumbuka Ile Ya Dodoma Alipofanunua Katiba Nchi Ikawa Juu
CCM Walishindwa Kujibu Hoja Wao Wanasema Asitugawe Hawataji Vifungu Vya Katiba
Hii elimu anayotoa Lissu siyo ya kitoto unakuta mkutano wote kimyaaa wanakula chakula ya ubongo. Mazwazwa Makalla na bosi wake Nchimbi wanatoa pumba tu kumjadili Lissu badala ya kupangua hoja zake.
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lisu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa Wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha
Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu πΌ
Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha π
Pesa Wanachanga wananchi wanaohudhuria mikutano!labda swali lingekuwa anapata wapi pesa?
kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu πΌ
Ni moto .Jamaa nafyatua makombora kama mvua za kule kwa wafarisayo...
Nguvu anaipata toka kwa Mungu wa mbingini aliyemwepusha na kifo kilichopangwa na yule shetani, nduli. aliyelala pale chatoUkiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lisu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa Wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha
Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu πΌ
Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha π
Itafahamika hizo nguvu anatoa wapo mzee mangi anamfuatilia kwa karibu!Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lisu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa Wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha
Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu πΌ
Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha π
Endeleeni kuwapa kichwa tu!..umesahau Sosopi na Askofu Mwanamapinduzi.
Si mlisema hayupo CDM? Anatumia chama gani kufanya mikutano Kijiji to kijiji?π‘π‘π‘π‘π‘Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lisu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa Wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha
Kama ndio kaianza safari ya kuelekea October 2025, basi ni hatari na nusu πΌ
Mungu wa mbinguni awabariki TAL na Twaha π