Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kwanini miaka yote mlishindwa kuitetea hiyo haki ya katiba kwa njia mnaodhani ni sahihi kwenu ?
Chama kilipoitisha maandamano nani alijitokeza zaidi ya kujificha kwenye mitandao na I'd fake,
Wakati mwingine tuwe wa kweli tuache unafiki
Huyo aliyezuia hiyo mikutano ungemwambia akae mbele kuzuia na hayo maandamano, na sio kuagiza vyombo vya dola, hapo ndio ungepima vizuri watu kutokotekea kwenye hayo maandamano. Fahamu waandamanaji hawakuwa na silaha.