Tundu Lissu anaponda maridhiano kwa nia njema au anahofia nafasi yake ya ugombea urais 2025?

Tundu Lissu anaponda maridhiano kwa nia njema au anahofia nafasi yake ya ugombea urais 2025?

Nikionekana wa maana kwa watu kama wewe nitakua loser, ni afadhali undelee sina maana zaidi ya hapo, kwangu ni indication of being the top notche.
Jikete ingaambili iji
Umeamua kujishusha mwenyewe, huwezi kukaa na kusubiri tu haki ije yenyewe bila kuchukua hatua , eti hata karne
 
Ndo Yale Yale ya tundu lisu ya kuropoka bila kuwa na njia mbadala
Huo ni upambavu kupinga kila jambo bila kuwa na mbadala
Leo bila aibu mnampinga Hadi mwenyekiti wenu ambae ndo kiongozi wenu,
Eti mnasubiri muwe wengi ndo mdai haki ,hao wengi mnasubiri kutoka wapi,nani atakayewaunga mkono kama nyie wachache mnashindwa kuonyesha njia ya kudai haki
Tukubali mkiti mbowe ana hekima na busara ndo maana kashawajua wafuasi wake wengi walivyo
kaamua kutumia njia sahihi ya Maridhiano

Huyo mwenyekiti muheshimu ww, angekuwa na busara asingekaa madarakani muda wote huo. Ukiona anaanza kupingwa hadharani ujue muda wake umeshapita. Mnampamba maana amekubali kuwa boya wenu.

Ni lini tuliacha kudai haki, au unadhani watu wakiogopa kutekwa na kuumizwa ndio wameacha kudai haki? Kwa taarifa yako tuna imani na Tundu Lisu, maana habembelezi kwenye haki yake, ni lini watu wengi watakuwa na uthubutu hilo sio juu ya Tundu Lisu, yeye anatimiza wajibu wake wa kuhamasisha watu kudai haki. Huyo aliyekubali kuingia kwenye maridhiano fake huku mambo kwa bao yakiwa hayajatekelezwa, muunge mkono ww na mumeo. Nasema hivi, hayo maridhiano ni utapeli wa mchana kweupe, hutaki endelea kupanick hivi hivi.
 
Acha unafiki mkuu,
Kiuhalisia wafuasi wengi wa chadema ni waoga na wanafiki na ujasiri wa mitandao kupitia Id fake ,
Viongozi wa Chama wametumia mbinu mbalimbali za kudai haki zenu lakini
Wafuasi wao wamewaangusha sana kwa sababu ya uoga na unafiki
Kama mlimwogopa kiongozi mmoja TU wa awamu iliyopita aliyekanyaga haki za kikatiba mkaufyata
Huyo Lisu alipopigwa risasi hadharani nani alidhubutu kuandamana kupinga ukatili ule hata kufanya mkusanyiko wa amani TU mlishindwa
Lo mnajidai hamtaji haki Kwa njia za mariadhiano unafiki mtupu
Anyway pengine mlimwogopa sana Magufuli,
Je Mkiti alipokamatwa akidai katiba mpya kwenye awamu hii nani aliyedhubutu kuandamana kudai kuachiliwa kwake
mienzi kadhaa mlikaa kupiga kelele mtandaoni freembowe
Huku mkilala na familia zenu siyo
kwa Uoga unafiki na kutojitambua kwa wafuasi walio wengi wa upinzani kumefanya
Viongozi wenye akili kama mkiti wa Cdm watumie njia ya maridhiano

Tuandamane kuhusu Mbowe kukamatwa ili iweje kwa mfano? Wafuasi wameshachangia sana kwa nafasi yao na sio lazima kuandamana. Kwani huyo Mbowe alipokuwa akitembelea VX uliwahi kuwaona wafuasi wake wakienda kumuomba lift? Kama alikamatwa ni sehemu ya mapambano, na ifahamike pia ameshakuwa mfaidika sana wa hicho cheo kupitia CDM. Labda umtaje mfuasi mwingine wa CDM aliyefaidika na uwepo wa CDM kuliko yeye.

Ni kweli watu ni waoga, lakini hakuna haja ya kutokuwa muangalifu wakati kuna viongozi waliochaguliwa kupitia CDM, kisha tukasimama kidete kulinda ushindi wao, hatimae wakaishia kwenda kuunga mkono juhudi. Mfano halisi ni Nasari, Silinde, nk. Watu wamepata hadi vilema na matatizo lukuki, huyo mwenyekiti aliwafidia maisha yao? Tuna akili zetu timamu usituone kuwa ni mafala, tunajua fika maridhiano ni utapeli kama utapeli mwingine, hiyo unayosema ni busara ni kimpango wako. Busara ya kufanywa zombie baki nayo na mumeo.
 
Kuongea na kupinga kila jambo bila kutoa suluhu au mbadala ni kuropoka tu na sio uongozi huo
Lissu
Tuandamane kuhusu Mbowe kukamatwa ili iweje kwa mfano? Wafuasi wameshachangia sana kwa nafasi yao na sio lazima kuandamana. Kwani huyo Mbowe alipokuwa akitembelea VX uliwahi kuwaona wafuasi wake wakienda kumuomba lift? Kama alikamatwa ni sehemu ya mapambano, na ifahamike pia ameshakuwa mfaidika sana wa hicho cheo kupitia CDM. Labda umtaje mfuasi mwingine wa CDM aliyefaidika na uwepo wa CDM kuliko yeye.

Ni kweli watu ni waoga, lakini hakuna haja ya kutokuwa muangalifu wakati kuna viongozi waliochaguliwa kupitia CDM, kisha tukasimama kidete kulinda ushindi wao, hatimae wakaishia kwenda kuunga mkono juhudi. Mfano halisi ni Nasari, Silinde, nk. Watu wamepata hadi vilema na matatizo lukuki, huyo mwenyekiti aliwafidia maisha yao? Tuna akili zetu timamu usituone kuwa ni mafala, tunajua fika maridhiano ni utapeli kama utapeli mwingine, hiyo unayosema ni busara ni kimpango wako. Busara ya kufanywa zombie baki nayo na mumeo.
Maridhiano ni mbinu inayotumika na CCM ili kupunguza kupingwa, exactly maridhiano ni utapeli utapeli, lengo la maridhiano ni kumsafishia njia Samia na CCM 2023.
 
Tuandamane kuhusu Mbowe kukamatwa ili iweje kwa mfano? Wafuasi wameshachangia sana kwa nafasi yao na sio lazima kuandamana. Kwani huyo Mbowe alipokuwa akitembelea VX uliwahi kuwaona wafuasi wake wakienda kumuomba lift? Kama alikamatwa ni sehemu ya mapambano, na ifahamike pia ameshakuwa mfaidika sana wa hicho cheo kupitia CDM. Labda umtaje mfuasi mwingine wa CDM aliyefaidika na uwepo wa CDM kuliko yeye.

Ni kweli watu ni waoga, lakini hakuna haja ya kutokuwa muangalifu wakati kuna viongozi waliochaguliwa kupitia CDM, kisha tukasimama kidete kulinda ushindi wao, hatimae wakaishia kwenda kuunga mkono juhudi. Mfano halisi ni Nasari, Silinde, nk. Watu wamepata hadi vilema na matatizo lukuki, huyo mwenyekiti aliwafidia maisha yao? Tuna akili zetu timamu usituone kuwa ni mafala, tunajua fika maridhiano ni utapeli kama utapeli mwingine, hiyo unayosema ni busara ni kimpango wako. Busara ya kufanywa zombie baki nayo na mumeo.
Kama unashindwa kumuheshimu hata mkiti wako wa chama, ambaye pia ni kiongozi wa juu huoni wewe utakuwa ni mropokaji tu
Wanachama wenye akili wanakuwa na nidhamu kwa viongozi wao haswa public, kama wamekosea Kuna vikao vya ndani vya kurekebishana
Sio kuropoka ovyo kama Lisu, kwanini asiombe kikao Cha chama wakae wakubaliane au apinge ndani chama ,
Kama ishu ya maslahi mnaona mkiti anafaidi sana kwanini msigombee nanyie hiyo nafasi si haki ya Kila mwanachama ila uonyeshe njia mbadala tofouti na ya mkiti aliyepo
 
Acha unafiki mkuu,
Kiuhalisia wafuasi wengi wa chadema ni waoga na wanafiki na ujasiri wa mitandao kupitia Id fake ,
Viongozi wa Chama wametumia mbinu mbalimbali za kudai haki zenu lakini
Wafuasi wao wamewaangusha sana kwa sababu ya uoga na unafiki
Kama mlimwogopa kiongozi mmoja TU wa awamu iliyopita aliyekanyaga haki za kikatiba mkaufyata
Huyo Lisu alipopigwa risasi hadharani nani alidhubutu kuandamana kupinga ukatili ule hata kufanya mkusanyiko wa amani TU mlishindwa
Lo mnajidai hamtaji haki Kwa njia za mariadhiano unafiki mtupu
Anyway pengine mlimwogopa sana Magufuli,
Je Mkiti alipokamatwa akidai katiba mpya kwenye awamu hii nani aliyedhubutu kuandamana kudai kuachiliwa kwake
mienzi kadhaa mlikaa kupiga kelele mtandaoni freembowe
Huku mkilala na familia zenu siyo
kwa Uoga unafiki na kutojitambua kwa wafuasi walio wengi wa upinzani kumefanya
Viongozi wenye akili kama mkiti wa Cdm watumie njia ya maridhiano
Kwa hiyo unataka lisu awe anaipongeza serikali kwa kila kitu ilibkuonesha Kuna maridhiano?
 
Lissu

Maridhiano ni mbinu inayotumika na CCM ili kupunguza kupingwa, exactly maridhiano ni utapeli utapeli, lengo la maridhiano ni kumsafishia njia Samia na CCM 2023.
Nashukuru umelezea kile nilichokua nafiria kuwa Lisu ana hofu ya nafasi yake ya kugombea urais
pengine anahisi mariadhiano yanaweza yakaondoa wagombea wa upinzani ili Mama apite bila kupingwa
Nafikiri awe na utulivu mariadhiano yameleta matunda mengi yenye maslahi kwa vyama vyote na taifa
Tofauti na mbinu yake aliyotaka ya kuandamana na kutumia manguvu
 
Mikutano iko kikatiba na sio kwa sababu ya maridhiano. Hayo maridhiano ni ya Mbowe na Samia na sio ya chama. Kama mliweza kumuachia Magufuli akawa rais, Kwanini isiwe Lisu?
Maridhiano=Mbowe+Samia✅
 
Siasa za kupimana msuli kati ya Cdm na CCM hazina tija awamu hii kwani zimewaumiza sana Cdm na kuwafaidisha CCM.Mfano ni uchaguzi wa 2020 uliingiliwa sana watu wa system wala kura za wananchi hazikuheshimiwa lengo kuwakomoa Cdm hebu sasa twende kwa mtindo huu ili tuone uchaguzi wa 2025 mazingira yake yataboreshwa VP ili tuwe na uchaguzi ulio huru na haki
 
Lissu

Maridhiano ni mbinu inayotumika na CCM ili kupunguza kupingwa, exactly maridhiano ni utapeli utapeli, lengo la maridhiano ni kumsafishia njia Samia na CCM 2023.
Kabisa, halafu ni kama Mbowe hajastuka kuwa anaingizwa mjini. Wanaccm wanampamba kuwa ni mtu mwenye busara, lengo ni kumpumbaza. Hayo maridhiano yana faida zaidi kwa Samia na chama chake, na wala sio CDM kama chama.
 
Kama unashindwa kumuheshimu hata mkiti wako wa chama, ambaye pia ni kiongozi wa juu huoni wewe utakuwa ni mropokaji tu
Wanachama wenye akili wanakuwa na nidhamu kwa viongozi wao haswa public, kama wamekosea Kuna vikao vya ndani vya kurekebishana
Sio kuropoka ovyo kama Lisu, kwanini asiombe kikao Cha chama wakae wakubaliane au apinge ndani chama ,
Kama ishu ya maslahi mnaona mkiti anafaidi sana kwanini msigombee nanyie hiyo nafasi si haki ya Kila mwanachama ila uonyeshe njia mbadala tofouti na ya mkiti aliyepo

Kumheshimu mwenyekiti sio kugeuzwa zombie, kama mwenyekiti anakuja na agenda zake za mfukoni unasimamia matarajio ya wafuasi, sisi Wafuasi ndio tutajua nani anasimamia tunachotaka. Hii kumuheshimu mwenyekiti ndio tuliishia kuchomekewa Lowassa yule mzee tapeli la kisiasa.

Akae pembeni ufanyike uchaguzi usio na mazonge. Na asipousoma mchezo atajikuta anabaki na wanaccm wakimuunga mkono, huku wafuasi wa cdm wakisimama na Tundu Lisu. Mpakeni Mbowe mafuta kwa mgongo wa chupa, huku akizidi kupoteza ushawishi chamani mwake. Huko CCM mwenyekiti ndio anaamua chochote atakacho kwani ni rais, na ndio mwenye uwezo wa kugawa vyeo. Mwenyekiti wa CDM heshima iko kwenye msimamo, sio kwenye maridhiano ambayo unaona kabisa hayatekelezwi.

Kikao cha nini, huko kwenye vikao ndio anakaa analazimisha agenda zake ambazo watu hawakubaliani nazo. Njia pekee ni kila mmoja aje na agenda yake kwa wafuasi, kisha wafuasi wataonyesha kukubaliana na agenda ipi.

Na kwakukusaidia tu, Mbowe alisema ikifika 2023 at step down kama mwenyekiti, msaidie kumkumbusha hiyo ahadi yake maana ni kama anajikausha. Mwambie hutajasahau ahadi hiyo, tunangoja utekelezaji.
 
Umeamua kujishusha mwenyewe, huwezi kukaa na kusubiri tu haki ije yenyewe bila kuchukua hatua , eti hata karne
Tayari umeshahama kwenye hoja ya msingi, haya, kila la kheri, kawasalimie huko ulipohamia.
 
Wadau ni swali najiuliza

Kwamba huyu mgombea urais 2020

Je, hakumbuki chama chake kilipambana kutafuta mariadhiano awamu iliyopita bila mafanikio

Je, amesahau haki ya mikutano ya hadhara anayotumia kuponda mariadhiano ilipatikana kupitia hayo mariadhiano

Ni vyema akaangalia zaidi maslahi mapana ya taifa kuliko nafasi yake

Kwa maoni yangu

Tundu Lissu ni mwanasheria na msimamizi mzuri wa utawala wa Sheria lakini hastahili nafasi kubwa ya urais hata uenyekiti wa Chama, hekima na busara yake haijakaa sawa
Tundu Lissu ndiye mfaidika namba 1 wa maridhiano kati ya Serikali na upinzani. Isingekuwa maridhiano sasa hivi angekuwa bado yuko Belgium anasubiri posho za UNHCR.

HAKUNA maridhiano ambayo "mshindi huchukua yote" (winner takes all) bali maridhiano ni "nipe nikupe" (give and take)

Sasa mfaidika namba MOJA wa maridhiano anasema HOVYO, ni sawa na kujiweka kitanzi chake
 
Tundu Lissu ndiye mfaidika namba 1 wa maridhiano kati ya Serikali na upinzani. Isingekuwa maridhiano sasa hivi angekuwa bado yuko Belgium anasubiri posho za UNHCR.

HAKUNA maridhiano ambayo "mshindi huchukua yote" (winner takes all) bali maridhiano ni "nipe nikupe" (give and take)

Sasa mfaidika namba MOJA wa maridhiano anasema HOVYO, ni sawa na kujiweka kitanzi chake
Nashukuru mkuu kwa kuliona Hilo,
Mpaka Sasa aliyefaidika zaidi na mariadhiano ni tundu lisu ,
Anajaribu kuwadanganya wafuasi wake kwamba huyupo kwenye maridhiano
Mtu WA kwanza kuonana na Rais Samia ni Lisu ubeligiji kabla hata ya maridhiano
Na Moja mambo aliyoomba ni maslahi yake ya ubunge na matibabu na usalama wake nk
Anasahau bila mariridhiano angekuwa Bado Yuko ukimbizini tangu alipokimbia nchi yake 2020
 
Kumheshimu mwenyekiti sio kugeuzwa zombie, kama mwenyekiti anakuja na agenda zake za mfukoni unasimamia matarajio ya wafuasi, sisi Wafuasi ndio tutajua nani anasimamia tunachotaka. Hii kumuheshimu mwenyekiti ndio tuliishia kuchomekewa Lowassa yule mzee tapeli la kisiasa.

Akae pembeni ufanyike uchaguzi usio na mazonge. Na asipousoma mchezo atajikuta anabaki na wanaccm wakimuunga mkono, huku wafuasi wa cdm wakisimama na Tundu Lisu. Mpakeni Mbowe mafuta kwa mgongo wa chupa, huku akizidi kupoteza ushawishi chamani mwake. Huko CCM mwenyekiti ndio anaamua chochote atakacho kwani ni rais, na ndio mwenye uwezo wa kugawa vyeo. Mwenyekiti wa CDM heshima iko kwenye msimamo, sio kwenye maridhiano ambayo unaona kabisa hayatekelezwi.

Kikao cha nini, huko kwenye vikao ndio anakaa analazimisha agenda zake ambazo watu hawakubaliani nazo. Njia pekee ni kila mmoja aje na agenda yake kwa wafuasi, kisha wafuasi wataonyesha kukubaliana na agenda ipi.

Na kwakukusaidia tu, Mbowe alisema ikifika 2023 at step down kama mwenyekiti, msaidie kumkumbusha hiyo ahadi yake maana ni kama anajikausha. Mwambie hutajasahau ahadi hiyo, tunangoja utekelezaji.
Wewe hujui hata Nini unataka au unachosimamia ndani ya chadema,
Unajua maamuzi ya kamati kuu ya chadema,
Unajua mbowe alivyoenda na wajumbe wenzake mwanza kwenye sikukuu ya Uhuru mambo aliyomwomba rais Magufuli Moja lilikuwa maridhiano
Ishu ya maridhiano chama chako imeomba muda mrefu ila wewe inaonyesha ww ndo agenda zako za Siri
Ishu ya mbowe kuachia nafasi ya uenyekiti hata Mimi ninaliunga mkono mdu mrefu
Isipokuwa muwe na nidhamu kwa uongozi kama kweli mna Nia ya kuwa chama mbadala
 
Wewe hujui hata Nini unataka au unachosimamia ndani ya chadema,
Unajua maamuzi ya kamati kuu ya chadema,
Unajua mbowe alivyoenda na wajumbe wenzake mwanza kwenye sikukuu ya Uhuru mambo aliyomwomba rais Magufuli Moja lilikuwa maridhiano
Ishu ya maridhiano chama chako imeomba muda mrefu ila wewe inaonyesha ww ndo agenda zako za Siri
Ishu ya mbowe kuachia nafasi ya uenyekiti hata Mimi ninaliunga mkono mdu mrefu
Isipokuwa muwe na nidhamu kwa uongozi kama kweli mna Nia ya kuwa chama mbadala

Maridhiano gani, kitendo cha viongozi wachache wa CDM kwenda Mwanza kutaka maridhiano wakati wa Magufuli si ndio tuliwaponda viongozi wa CDM hadi wakajua wamejichanganya? Kitendo kile Kilitufanya tuwaponde viongozi wa CDM waziwazi. Pitia nyuzi mbalimbali hapa jukwaani kipindi kile uone ni wafuasi wangapi wa CDM waliunga mkono ukondoo ule. Na kwa taarifa yako siku ile viongozi wa CDM walijipunguzia sana credit kwa ukondoo ule.

Narudia tena hakuna heshima ya kuwa Zombie kwa kiongozi. Kiongozi anayeendekeza maridhiani yasiyoheshimiwa na ya usiri, hakuna kujilegeza kwake. Sio kila mtu ana heshima ya uoga na unafiki boss. Mwambie Mbowe a good dancer knows when to leave a stage. Usilazimishe heshima za kinafiki hapa. Hatuhitaji kuwa chama mbadala kwa utashi wako.
 
Wadau ni swali najiuliza

Kwamba huyu mgombea urais 2020

Je, hakumbuki chama chake kilipambana kutafuta mariadhiano awamu iliyopita bila mafanikio

Je, amesahau haki ya mikutano ya hadhara anayotumia kuponda mariadhiano ilipatikana kupitia hayo mariadhiano

Ni vyema akaangalia zaidi maslahi mapana ya taifa kuliko nafasi yake

Kwa maoni yangu

Tundu Lissu ni mwanasheria na msimamizi mzuri wa utawala wa Sheria lakini hastahili nafasi kubwa ya urais hata uenyekiti wa Chama, hekima na busara yake haijakaa sawa
Maneno yaliyohitimisha, yanapaswa kuwepo kwenye bango la 2025, yaani hakikisha unaweka bukumaki(bookmark) ya post hii na kuhakikisha unachapisha na kuwatumia wenzako maneno haya kuelekea 2025.

Braza Bwana Mzeee Tundu Unisamehe tu, tena, kiutu uzima. Ulitusaliti! hairudi nyuma hiyo na kurakabishika.
 
Lisu ni kiongozi mzuri sana wa wanaharakati. Ana sifa za kubwatuka, kutumia lugha ya kuudhi, matusi na uzushi. Ni mtu safi kwa majuha wenzie na ni takataka kwa msitakabali wa nchi.. hafahi hata kuwa mwenyekiti wa chadema achilia mbali urais.
 
Back
Top Bottom