Relax mkuu,hukawii kusema CHADEMA ni chama mfu, sasa kitu mfu mbona unakereka nacho?,uhamiaji wametoa viajira huko, nenda na achana na chama la CDM, hii stimela ya CDM ndio imeongezewa injini zingine 12 ni moto juu, Canadian yeee lapanda mlima yeee kwa gea zote yeeeee, panda mlima panda