Tundu Lissu anataka biashara zifungwe na magari yazuiwe siku ya maandamano ya CHADEMA

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Kutoka Jambo Tv, Lissu anasema wakiwa wanaandamana inatakiwa polisi wafunge barabara na biashara zifungwe ili kupisha maandamano hayo
 
Dictator Uchwara
Ndio hawa tuwape nchi tutakufa njaa Walahi
Au sijamuelewa kuwa biashara zifungwe watu wasiuze siku nzima kisa maandamano
 
Relax mkuu,hukawii kusema CHADEMA ni chama mfu, sasa kitu mfu mbona unakereka nacho?,uhamiaji wametoa viajira huko, nenda na achana na chama la CDM, hii stimela ya CDM ndio imeongezewa injini zingine 12 ni moto juu, Canadian yeee lapanda mlima yeee kwa gea zote yeeeee, panda mlima panda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…