Duh! Hii kali, lakini huyo baba yenu angalieni bangi wanavuta Chadema lakini analewa yeye.uzuri mmoja nnaowpendea cdm ni kwamba karibia wote ni wavuta bangi, kwahio chochote wanachoongea hua ni upuuzi tu:
Igweeeeeh ongezea na Mpanda Katuma LugonesiKule namtumbo na Dodoma na singida tuna uranium eti yote Ni ya mafisadi ya maccm yaliyoko dar,
Kama ilivyo gas ya mtwara na Lindi, au dhahabu ya shinyanga
Bila majimbo Haikubaliki
Duh! Hii kali, lakini huyo baba yenu angalieni bangi wanavuta Chadema lakini analewa yeye.
Chungeni asije vaa boxer kichwani akidhani ni zile kofia anazo wavesha kina Kiba!
ama kweli mmeishiwa ..leo hii mnaongelea bangi badala ya maendeleo ya wananchi
Umekosa hoja , wabunge wa ccm kina msukuma ndo watetea bangi.
Hata hoja za majimbo wamejibu kama watoto wa darasa la saba. Hii dhana ni nzito na mwelekeo wa dunia sasa hivi. Hoja za Mheshimiwa Lissu ni another level. Mafisiem hawawezi kujibu kiakili wakaeleweka.Ninaona leo mmejaribu kujibu hoja ya kugawa majimbo na hoja ya vitambulisho. Lakini kule kwa mtoto wa dada kuwa Paymaster General, na Mayanga Constructions hamkugusa kabisa.
Hata hoja za majimbo wamejibu kama watoto wa darasa la saba. Hii dhana ni nzito na mwelekeo wa dunia sasa hivi. Hoja za Mheshimiwa Lissu ni another level. Mafisiem hawawezi kujibu kiakili wakaeleweka.
asavali lingekuwa bumunda walau tungelila. Hili ni dudu washaMungu atende na asikie kilio chetu hili bumunda liondoke
Hiyo njia mbadala lazima itanguliwe na box la kura, vinginevyo utaonekana ni muahini. Wakuitoa ccm madarakani ni wananchi baada ya kupiga kura, na matokeo kupinduliwa.Msijifariji sana, huwa nasema na leo narudia tena, hakuna njia ya box la kura itaiondoa CCM madarakani hata iwe miaka 1000 ijayo kama mtategemea kutumia box la kura kuitoa CCM madarakani mnajilisha upepo. Hata wasiposhidna kwa kura CCM wataendelea kutangazwa kuwa ni washindi na watatawala tuui. Tumieni njia mbadala kuing'oa CCM madarakani la sivyo mnapoteza muda tu.
Majibu atayapata mwenyewe pale atakapofika huko chato
Tayari tumeshatenga sehemu maalumu pale makumbusho ya taifa kwa ajili ya kuhifadhia jembe na nyundo pamoja na bendera ya CCM.
Kule kwingine ni kwa motoNinaona leo mmejaribu kujibu hoja ya kugawa majimbo na hoja ya vitambulisho. Lakini kule kwa mtoto wa dada kuwa Paymaster General, na Mayanga Constructions hamkugusa kabisa.
Mpaka sasa taarifa zake kwenye You tube peke yake zimetazamwa na watu Million 28 kwa wiki hizi tatu alizopiga kampeni.Mimi ni mwana CCM, Tundu Lissu anachotufanyia sio sahihi kabisa,Sasa anatuchezesha segere ya kujibu hoja zake ambazo kwenye TV hazionyeshwi na hazijibiki
Yale maelfu ya watu wanaomfuata wanatoka wapi?
Taarifa zake zinaenea kwa style ipi mpaka viongozi wa ccm wanazipata na kuzijibu?
William Lukuvi aliwahi kutamka kuwa Tundu lissu anatumia Ngekewa au kamzizi wakati wa Bunge la Katiba kushawishi wajumbe wamsikilize na wengi kukubaliana na hoja zake,Kauli ya lukuvi ilitokana na Tundu lissu kuwazidi kwa hoja za mambo ya muungano na uwezo wa kushawishi wajumbe
Je kwa haya yanayoendelea kwenye kampeni kwa umati unaomfuata na kusababisha kila mtu kumfuatilia ni Ngekewa au kamzizi?
Siamini katika ndumba lakini hizi video zinajieleza
Kama watu wameamua tu kumfuata bila ndumba au kamzizi basi ccm chama changu kinapaswa kubadili mbinu
Facebook huko imewekwa hoja ya Majimbo watu wanaisifia na kuponda chama cha mapinduzi vibaya sana na hii ndio imepelekea mimi kuandika hii mada hapa JF
Nashauri chama changu mbinu ya kumaliza hizi hoja ni kutekeleza mambo yafuatayo kuelekea oktoba 2020
Mosi, Kushusha kodi ya pay as you earn kwa asilimia mbili
Pili, Kurudisha riba ya mikopo ya wanafunzi mpaka kumi asilimia au nane
Tatu, Kuwaomba radhi wale ambao bado wana hasira na chama hasa baadhi ya wafanyabiashara na wakulima
Nne, Kundi kubwa la CCM linaonyesha litapiga kura za hasira hivyo linahitaji kuwa nalo makini,Hawa wanashangilia lakini ni dhahiri watakiadhibu chama kwenye sanduku la kura,Tuwe nao watu hawa makini kwenye kampeni
View attachment 1576515
View attachment 1576517
Magufuli kawapora fedha wananchi kwenye halmashauri zao halafu anataka wampigie magoti kuomba matundu ya choo.Sasa hivi tukitaka kujenga Tundu 2. za choo Cha shule kule kyerwa Karagwe inabidi tumpigie magoti Mugufuli wakati tuna kahawa ya kutosha tu.