Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anatumia ngekewa au kamzizi kukiangamiza CCM na kushawishi watu kumfuata?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anatumia ngekewa au kamzizi kukiangamiza CCM na kushawishi watu kumfuata?

Kule namtumbo na Dodoma na singida tuna uranium eti yote Ni ya mafisadi ya maccm yaliyoko dar,
Kama ilivyo gas ya mtwara na Lindi, au dhahabu ya shinyanga

Bila majimbo Haikubaliki
Igweeeeeh ongezea na Mpanda Katuma Lugonesi
 
Duh! Hii kali, lakini huyo baba yenu angalieni bangi wanavuta Chadema lakini analewa yeye.
Chungeni asije vaa boxer kichwani akidhani ni zile kofia anazo wavesha kina Kiba!

sasa uzuri mwingine wanaovuta bangi utawajua tu
 
Ninaona leo mmejaribu kujibu hoja ya kugawa majimbo na hoja ya vitambulisho. Lakini kule kwa mtoto wa dada kuwa Paymaster General, na Mayanga Constructions hamkugusa kabisa.
Hata hoja za majimbo wamejibu kama watoto wa darasa la saba. Hii dhana ni nzito na mwelekeo wa dunia sasa hivi. Hoja za Mheshimiwa Lissu ni another level. Mafisiem hawawezi kujibu kiakili wakaeleweka.
 
Hata hoja za majimbo wamejibu kama watoto wa darasa la saba. Hii dhana ni nzito na mwelekeo wa dunia sasa hivi. Hoja za Mheshimiwa Lissu ni another level. Mafisiem hawawezi kujibu kiakili wakaeleweka.


so far hakuna hoja ya maaana lissu aliongea, anaeleweka na wana saccos wenzake! most of the things anaongea are totally wrong, sheria sijui, na sio fun wa sheria sana!!!

ila economics, ni aibu ata kusema ni mtu wa tanzania, anashindwa hata basic economics na katoto kanachojua savings

- no wonder alisoma HGE, alitumia mda mwingi kujifunza kuandika IMLA, sasa anataka kubattle na PHD ya kemia, WTF!
 
Msijifariji sana, huwa nasema na leo narudia tena, hakuna njia ya box la kura itaiondoa CCM madarakani hata iwe miaka 1000 ijayo kama mtategemea kutumia box la kura kuitoa CCM madarakani mnajilisha upepo. Hata wasiposhidna kwa kura CCM wataendelea kutangazwa kuwa ni washindi na watatawala tuui. Tumieni njia mbadala kuing'oa CCM madarakani la sivyo mnapoteza muda tu.
 
Msijifariji sana, huwa nasema na leo narudia tena, hakuna njia ya box la kura itaiondoa CCM madarakani hata iwe miaka 1000 ijayo kama mtategemea kutumia box la kura kuitoa CCM madarakani mnajilisha upepo. Hata wasiposhidna kwa kura CCM wataendelea kutangazwa kuwa ni washindi na watatawala tuui. Tumieni njia mbadala kuing'oa CCM madarakani la sivyo mnapoteza muda tu.
Hiyo njia mbadala lazima itanguliwe na box la kura, vinginevyo utaonekana ni muahini. Wakuitoa ccm madarakani ni wananchi baada ya kupiga kura, na matokeo kupinduliwa.
 
Damu ya binadamu inapomwagwa ardhini kwa chuki humwagilia mche wa haki utakaoleta amani. Kwa aliyejaribu kuimwaga hugeuka kuwa laana na majuto maishani. Jiwe na CCM yako jifunzeni na uheshimu damu za wenye haki. Pata somo kwa Kaini. Usizidi kuvuta ghadhabu ya Mungu kwa kutamka "msema kweli ni mpenzi wa Mungu" wakati ukweli haumo ndani mwako. Utaishia kuwa Rais wa awamu moja ikifuatiwa na maombolezo yadumuyo ya kilio cha roho.
 
Mimi ni mwana CCM, Tundu Lissu anachotufanyia sio sahihi kabisa,Sasa anatuchezesha segere ya kujibu hoja zake ambazo kwenye TV hazionyeshwi na hazijibiki

Yale maelfu ya watu wanaomfuata wanatoka wapi?

Taarifa zake zinaenea kwa style ipi mpaka viongozi wa ccm wanazipata na kuzijibu?

William Lukuvi aliwahi kutamka kuwa Tundu lissu anatumia Ngekewa au kamzizi wakati wa Bunge la Katiba kushawishi wajumbe wamsikilize na wengi kukubaliana na hoja zake,Kauli ya lukuvi ilitokana na Tundu lissu kuwazidi kwa hoja za mambo ya muungano na uwezo wa kushawishi wajumbe

Je kwa haya yanayoendelea kwenye kampeni kwa umati unaomfuata na kusababisha kila mtu kumfuatilia ni Ngekewa au kamzizi?

Siamini katika ndumba lakini hizi video zinajieleza

Kama watu wameamua tu kumfuata bila ndumba au kamzizi basi ccm chama changu kinapaswa kubadili mbinu

Facebook huko imewekwa hoja ya Majimbo watu wanaisifia na kuponda chama cha mapinduzi vibaya sana na hii ndio imepelekea mimi kuandika hii mada hapa JF

Nashauri chama changu mbinu ya kumaliza hizi hoja ni kutekeleza mambo yafuatayo kuelekea oktoba 2020

Mosi, Kushusha kodi ya pay as you earn kwa asilimia mbili

Pili, Kurudisha riba ya mikopo ya wanafunzi mpaka kumi asilimia au nane

Tatu, Kuwaomba radhi wale ambao bado wana hasira na chama hasa baadhi ya wafanyabiashara na wakulima

Nne, Kundi kubwa la CCM linaonyesha litapiga kura za hasira hivyo linahitaji kuwa nalo makini,Hawa wanashangilia lakini ni dhahiri watakiadhibu chama kwenye sanduku la kura,Tuwe nao watu hawa makini kwenye kampeni

View attachment 1576515
View attachment 1576517
Mpaka sasa taarifa zake kwenye You tube peke yake zimetazamwa na watu Million 28 kwa wiki hizi tatu alizopiga kampeni.

Wamefunga vyombo vya habari mkizani dunia bado iko kwenye kusoma makaratasi na kusikiliza radio ambazo ni pro government.

Bashiru ni mweupe sana kwenye siasa kama angeongoza ccm iliyotelekezwa na dola kama kipindi cha mkwere mngekuwa na hali mbaya sana
 
Back
Top Bottom